Maana halisi ya 'wakishua' enzi hizo utotoni

Maana halisi ya 'wakishua' enzi hizo utotoni

SNAP J

JF-Expert Member
Joined
Dec 26, 2013
Posts
7,106
Reaction score
8,043
Kama kwenu mlikuwa na moja kati hivi vitu basi bila shaka wewe ni wa kishua (familia bora).
  • Dishi kubwa jeusi la nyavu
  • King'amuzi cha Multichoice (M decoder)
  • Gameboy (Nintendo)
  • Video game(Nintendo or Sema mega drive)
  • walkman disk
  • Music system ya CD
  • Deki ya kaseti(VHS)
  • TV ya chogo (Sharp, JVC,Toshiba)
  • Simu ya mezani (landline)
  • Gari(Mitsubishi au Musson)
  • Kengele getini
  • Raba za kuwaka taa
List ni ndefu, Ongezea na wewe
IMG_20221231_184137.jpeg
IMG_20221231_184205.jpeg
IMG_20221231_184119.jpeg
IMG_20221231_184112.jpeg
IMG_20221231_184127.jpeg
IMG_20221231_184159.jpeg
IMG_20221231_184341.jpeg
IMG_20221231_184345.jpeg
IMG_20221231_183719.jpeg
IMG_20221231_183904.jpeg
IMG_20221231_183522.jpeg
IMG_20221231_184004.jpeg
 
Hao walikua majirani zetu kutwa tunaishia kuchungulia kwenye senyenge au wakifungua geti gari lipite tuone ndani kuna nini.

Hili neno tigo wameliaribu sana kila mtu wanamuita wa kishua ili mradi tu wadake wateja kwa vihuduma vyao vibovu
 
Kama kwenu mlikuwa na moja kati hivi vitu basi bila shaka wewe ni wa kishua (familia bora).
  • Dishi kubwa jeusi la nyavu
  • King'amuzi cha Multichoice (M decoder)
  • Gameboy (Nintendo)
  • Video game(Nintendo or Sema mega drive)
  • walkman disk
  • Music system ya CD
  • Deki ya kaseti(VHS)
  • TV ya chogo (Sharp, JVC,Toshiba)
  • Simu ya mezani (landline)
  • Gari(Mitsubishi au Musson)
  • Kengele getini
  • Raba za kuwaka taa
List ni ndefu, Ongezea na wewe
View attachment 2464646View attachment 2464647View attachment 2464648View attachment 2464649View attachment 2464652View attachment 2464653View attachment 2464655View attachment 2464656View attachment 2464657View attachment 2464658View attachment 2464659View attachment 2464660
Raba kuwaka taa [emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]
 
kwenye raba umenikumbusha kitambo kidogo.. Kuna sikukuu moja tulirud home usiku af njia hatuifaham sasa kuna mwanetu mmoja alinunuliwa buti za kuwaka na ye ndio alikuwa anajua njia, sasa kwenye kutembea gizan sometimes tulikuwa tunapotezana ila tukiona buti kwa mbali inawaka tulikuwa tunakimbilia.. mwendo ulikuwa hivyo had tunafika home
 
Kama kwenu mlikuwa na moja kati hivi vitu basi bila shaka wewe ni wa kishua (familia bora).
  • Dishi kubwa jeusi la nyavu
  • King'amuzi cha Multichoice (M decoder)
  • Gameboy (Nintendo)
  • Video game(Nintendo or Sema mega drive)
  • walkman disk
  • Music system ya CD
  • Deki ya kaseti(VHS)
  • TV ya chogo (Sharp, JVC,Toshiba)
  • Simu ya mezani (landline)
  • Gari(Mitsubishi au Musson)
  • Kengele getini
  • Raba za kuwaka taa
List ni ndefu, Ongezea na wewe
View attachment 2464646View attachment 2464647View attachment 2464648View attachment 2464649View attachment 2464652View attachment 2464653View attachment 2464655View attachment 2464656View attachment 2464657View attachment 2464658View attachment 2464659View attachment 2464660
SEGA MEGA DRIVE
DISC MAN
 
Hv hayo madishi makubwa ya nyavu bado yanatumika Hadi Leo..?
Ila ni imara sana hayo tofauti na zile nyeupe za zamani pia
 
Daaah, Sega-Mega Drive 2, Nintendo Game Boy, Walkman Disk, Mitsubishi, viliwahi kuwepo home na sijui hata vilitoka wapi maana hatukuwa wakishua hata kidogo...
 
Iringa kuna mzungu bado anamiliki hiyoo MUSSO na alinipa juz kati aseee inamwaga moto balaa...na ipo katika hali zuri
 
Back
Top Bottom