Maana ya Boko Haramu ni hii

Nikupateje

JF-Expert Member
Joined
Dec 22, 2009
Posts
1,334
Reaction score
989
NIlikuwa nasikia tu neno Boko Haramu lakin sijui maana yake. Kumbe Boko Haramu maana yake ni "Western education is sinful".

Kumbe ndiyo maana wafuasi wake na wapenzi wake, na washabiki wake, na waumini sawa na hawa Boko Haramu kwao elimu ni kama moshi na jicho.

Sasa, ukichukia elimu ya wazungu wakati ndiyo inayofanya wengi muonekane wasomi, utalalamikaje kwamba wenye kufanana na Boko haramu wana alimu duni??????????!!!!!!!!!!!
 
Ok ila kisambaa maana yake ni ndizi haramu
 
Kuuwa watu na wototo wadogo ndio itikadi zao, mashetani kabisa........
 
Hahahaha nimeikubali hii, kwa kisambaa ni ndizi haramu. Ni kweli, ndizi ni boko kwa kisambaa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…