Maana ya kauli ‘Uchawi hauendi kwa mentally’ ni ipi?

Maana ya kauli ‘Uchawi hauendi kwa mentally’ ni ipi?

fungi06

JF-Expert Member
Joined
Jul 1, 2020
Posts
738
Reaction score
1,017
Nimeskia huu msemo kwenye mwimbo wa professa j...

Zali la mentally, rejea ukauskilize...

Sasa nataka nijue je huu msemo (uchawi hauendi kwa mentally) unamaanisha nini?

Cc Mshana Jr
 
Nimeskia huu msemo kwenye mwimbo wa professa j...

Zali la mentally, rejea ukauskilize...

Sasa nataka nijue je huu msemo (uchawi hauendi kwa mentally) unamaanisha nini?

Cc Mshana Jr
Mentali ni neno lililotoholewa toka neno la kiingereza mental Yaani akili ama kiakili (mentally)
Kwa tafsiri iliyozoeleka ni chizi ama chizi fresh...kijana barobaro asiye na maarifa na ambaye maisha yake hayaelewekieleweki mara nyingi ni mtumiaji mzuri wa mmea

Uchawi ni kaliba yenye vigezo vyake pia...uchawi haufanyi kazi kwenye vitu vyenye kasoro na ndio maana ukitaka kumkomoa mtu mwenye uchawi wa chuma ilete mpe noti iliyopungua kipande ama yenye kasoro na wao kwa kulitambua hili ndio maana hupendelea za sarafu

Chizi ama barobaro ama mentali tayari ni binadamu mwenye kasoro hivyo huwezi kumuongezea kasoro nyingine.. Ndio maana ya huo usemi wako

Btw umeshawahi kusikia wimbo wa Mondi kuwa chizi karogwa tena!? Yaani ni mshangao kwakuwa uchawi hauna mapigo mawili bali una featuring ya collabo...yaani kama una kimavi unaongezewa na bakshish ya gundu

Good morning Tanganyika...!!!!
 
Mentali ni neno lililotoholewa toka neno la kiingereza mental Yaani akili ama kiakili (mentally)
Kwa tafsiri iliyozoeleka ni chizi ama chizi fresh...kijana barobaro asiye na maarifa na ambaye maisha yake hayaelewekieleweki mara nyingi ni mtumiaji mzuri wa mmea

Uchawi ni kaliba yenye vigezo vyake pia...uchawi haufanyi kazi kwenye vitu vyenye kasoro na ndio maana ukitaka kumkomoa mtu mwenye uchawi wa chuma ilete mpe noti iliyopungua kipande ama yenye kasoro na wao kwa kulitambua hili ndio maana hupendelea za sarafu

Chizi ama barobaro ama mentali tayari ni binadamu mwenye kasoro hivyo huwezi kumuongezea kasoro nyingine.. Ndio maana ya huo usemi wako

Btw umeshawahi kusikia wimbo wa Mondi kuwa chizi karogwa tena!? Yaani ni mshangao kwakuwa uchawi hauna mapigo mawili bali una featuring ya collabo...yaani kama una kimavi unaongezewa na bakshish ya gundu

Good morning Tanganyika...!!!!
Oh asante legend nimeelewa
 
Mentali ni neno lililotoholewa toka neno la kiingereza mental Yaani akili ama kiakili (mentally)
Kwa tafsiri iliyozoeleka ni chizi ama chizi fresh...kijana barobaro asiye na maarifa na ambaye maisha yake hayaelewekieleweki mara nyingi ni mtumiaji mzuri wa mmea

Uchawi ni kaliba yenye vigezo vyake pia...uchawi haufanyi kazi kwenye vitu vyenye kasoro na ndio maana ukitaka kumkomoa mtu mwenye uchawi wa chuma ilete mpe noti iliyopungua kipande ama yenye kasoro na wao kwa kulitambua hili ndio maana hupendelea za sarafu

Chizi ama barobaro ama mentali tayari ni binadamu mwenye kasoro hivyo huwezi kumuongezea kasoro nyingine.. Ndio maana ya huo usemi wako

Btw umeshawahi kusikia wimbo wa Mondi kuwa chizi karogwa tena!? Yaani ni mshangao kwakuwa uchawi hauna mapigo mawili bali una featuring ya collabo...yaani kama una kimavi unaongezewa na bakshish ya gundu

Good morning Tanganyika...!!!!
We binadamu kimavi ndo nini..?
 
Unamatisho ya kitoto sana! Hizo enzi tumetoka huko kitambo.. uchawi na technology wapi na wapi..[emoji23]

Haujui mnapika pilau ndani mnajifungia kula kumbe mnakula na wajuba kazi kuongeza tu hamjashiba!
 
@Mshana Jr huyu jamaa hajui kuna wake za watu wanashughulikiwa usiku kucha wewe ukitaka mzigo unaambiwa nimechoka kumbe kamaliza kazi na wazee wewe ukiwa umelala tena unapelekwa pembeni kwanza
 
Unamatisho ya kitoto sana! Hizo enzi tumetoka huko kitambo.. uchawi na technology wapi na wapi..[emoji23]
Kuwa mpole...subiri matisho ya kitoto yakifanya kazi ndio utajua mayi sio mma
 
@Mshana Jr huyu jamaa hajui kuna wake za watu wanashughulikiwa usiku kucha wewe ukitaka mzigo unaambiwa nimechoka kumbe kamaliza kazi na wazee wewe ukiwa umelala tena unapelekwa pembeni kwanza
Hajui huyu .hajui kabisa...!!! KENZY
 
Mentali ni neno lililotoholewa toka neno la kiingereza mental Yaani akili ama kiakili (mentally)
Kwa tafsiri iliyozoeleka ni chizi ama chizi fresh...kijana barobaro asiye na maarifa na ambaye maisha yake hayaelewekieleweki mara nyingi ni mtumiaji mzuri wa mmea

Uchawi ni kaliba yenye vigezo vyake pia...uchawi haufanyi kazi kwenye vitu vyenye kasoro na ndio maana ukitaka kumkomoa mtu mwenye uchawi wa chuma ilete mpe noti iliyopungua kipande ama yenye kasoro na wao kwa kulitambua hili ndio maana hupendelea za sarafu

Chizi ama barobaro ama mentali tayari ni binadamu mwenye kasoro hivyo huwezi kumuongezea kasoro nyingine.. Ndio maana ya huo usemi wako

Btw umeshawahi kusikia wimbo wa Mondi kuwa chizi karogwa tena!? Yaani ni mshangao kwakuwa uchawi hauna mapigo mawili bali una featuring ya collabo...yaani kama una kimavi unaongezewa na bakshish ya gundu

Good morning Tanganyika...!!!!
Nimuongezee tu kidogo shetani/wachawi huwa haaribu sehemu ya hovyo mf wakikujua labda una kipawa flani cha uelewa(elimu),Nyota kali au mtu attractive yani hata madhabahu na mikosi ya ukoo huwa yanawaandama sana watu hawa hakika MUNGU atuongoze katika maisha yetu
 
Back
Top Bottom