Maana ya kikosi kipana

kilwakivinje

JF-Expert Member
Joined
Jan 4, 2014
Posts
6,184
Reaction score
9,407
Aucho hajacheza.
Mudathir hajacheza.
Yao Yao hajacheza.
Skudu Hajacheza
Job Hajacheza
Lomalisa Hajacheza
Faridi Hajacheza

This Can't be football wachezaji Key player 7 hawajacheza na bado wameshinda goal tano, This is Insane [emoji24][emoji119]

Nahamia yanga wanalunyasi wenzangu mnisamehe
 
Si hao tu, umemsahau Musonda na hata golini ungemuanzisha Metacha
 
Karibu sana mkuu
 
Ngao tushukuru Mungu wanalunyasi hali yetu ilikuwa tete sana

Simba ni Mbovu na hili Nimekuwa nikilosema mda mrefu sana hata kabla ya Usaji, kabla ya MSIMU hata haujaisha.

UONGOZI mbovu.
Usajili MBOVU Sana.
Wachezaji WABOVU.
KOCHA Mbovu nk, nk, nk......
 
Simba ni Mbovu na hili Nimekuwa nikilosema mda mrefu sana hata kabla ya Usaji, kabla ya MSIMU hata haujaisha.

UONGOZI mbovu.
Usajili MBOVU Sana.
Wachezaji WABOVU.
KOCHA Mbovu nk, nk, nk......
Mam*ko mbovu pia kwa kuzaa mtu zwazwa la utopoloni.

Nimeongezea tu
 
Kielelezo sahihi Cha mazwazwa/mazuzu ya UTOPOLONI.

Ndio post zao hizi za kishoga!
 
Karibu YANGA ila uwe na namba ya NIDA,..Vinginevyo hatukupokei😉😉
 
Kwani uwanjani wanatakiwa wachezaji wangapi at a time?
 
tukutane kesho inshallah kwenye beutiful soccer akiwepo fundi zidane pacome zizu
 
Hiyo timu ni wafanyakazi wa asas hata ruvu shooting anawalima 7 kimya
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…