Maana ya kubeti kistaarabu

Maana ya kubeti kistaarabu

Kidagaa kimemwozea

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2018
Posts
3,680
Reaction score
6,554
Mara zote kampuni na asasi za Betting industry zimetakiwa kuwakumbusha wateja kubeti kistaarabu , hii nikutokana na ukweli kuwa betting inasabaisha matatizo ya Afya ya akili Kama msongo na addiction. Unachopaswa kuifundisha akili yako nikiwa hakuna utajiri unaotafutwa kwa betting na kuwa betting Ni mchezo wa kujifurahisha. Nilazima utambue Ni wakati gani sahihi wa kutakuwa kupumzika au kuacha kabisa Kama unakubwa na changamoto ya kupoteza Sana.

Beti kwa kiwango ambacho hutaumia Kama ukipoteza.
Kwamfano umebeti TSH 100 ukapoteza hutaumia Kama umebeti laki moja, hakikisha pesa unayobetia Ni fedha ya ziada, isiyo katika matumizi nawala hutarajii ushindi huo katika kutatua changamoto zako za kiuchumi.

Jidhibiti : Kama wewe nibinadamu ukaamua kuacha jambo fulani na huwezi kuacha Basi ujue unachangamoto ya Afya ya akili. Nilazima uweze kujuzuia kuendelea kucheza au kucheza kwa kiasi.

Wito wangu kwakuwa serikali inakudanya mapato huko ingesaidia katika kampeni za kubeti kistaarabu na pengine kuwapatia msaada wa kisaikolojia waliokuwa addicted

Cheza kistaarabu, usichukulie poa
 
Mara zote kampuni na asasi za Betting industry zimetakiwa kuwakumbusha wateja kubeti kistaarabu , hii nikutokana na ukweli kuwa betting inasabaisha matatizo ya Afya ya akili Kama msongo na addiction. Unachopaswa kuifundisha akili yako nikiwa hakuna utajiri unaotafutwa kwa betting na kuwa betting Ni mchezo wa kujifurahisha. Nilazima utambue Ni wakati gani sahihi wa kutakuwa kupumzika au kuacha kabisa Kama unakubwa na changamoto ya kupoteza Sana.

Beti kwa kiwango ambacho hutaumia Kama ukipoteza.
Kwamfano umebeti TSH 100 ukapoteza hutaumia Kama umebeti laki moja, hakikisha pesa unayobetia Ni fedha ya ziada, isiyo katika matumizi nawala hutarajii ushindi huo katika kutatua changamoto zako za kiuchumi.

Jidhibiti : Kama wewe nibinadamu ukaamua kuacha jambo fulani na huwezi kuacha Basi ujue unachangamoto ya Afya ya akili. Nilazima uweze kujuzuia kuendelea kucheza au kucheza kwa kiasi.

Wito wangu kwakuwa serikali inakudanya mapato huko ingesaidia katika kampeni za kubeti kistaarabu na pengine kuwapatia msaada wa kisaikolojia waliokuwa addicted

Cheza kistaarabu, usichukulie poa
Ubetie sh.100 si utakuwa unapoteza muda
 
Back
Top Bottom