Hizo ni istilahi (terminology) za hesabu za kibiashara (bookkeeping/Accounts). Maneno hayo yametafsiriwa kwa mujibu wa kamusi ya kiswahili (TUKI):
Debit n mtoe, mdaiwa; hesabu (iliyoandikwa upande wa madeni katika daftari) (kinyume cha mpe).
credit n 1 muamana. 2 mkopo, karadha. buy/sell on ~ nunua/ uza kwa mkopo. ~ account n (US charge account). ~ card n kadi ya mkopo. ~ note n hati ya kudai. letter of ~ n hati ya muamana. ~ squeeze n sera ya kubana utoaji mikopo. ~ balance n baki ya upande wa malipo. 3 (book-keeping) mpe: maingizo ya fedha zilizotolewa. 4 sifa njema, heshima. give ~ (to) sifia, tambua. do/reflect ~ ongezea sifa. 5 imani the rumour is gaining ~ uvumi unazidi kuaminika she has five books to her ~ ameandika vitabu vitano. vt 1 amini. 2 kopesha. 3 fanya maingizo ya. ~able adj. ~or n mwia. ably adv.
Cummulative Balance- Salio endelea/endelevu