Ngoja alee kwanza maana yake yuko bize na malezi hana nafasi ya kukaribia kwako!
Hilo lingine ni kwamba huyo mwanaume anaesemwa haridhiki hata apewe au afanyiwe nini. Yani haya ndo yakukufelisha mtihani?
Yote mawazo potofu...unaona kisichokuwepo!mhhh
mtu kusema ngoja nilee siokwamba
anahisi utaomba kitu na hataki kubemenda mtoto?
na kubebwa mgongoni sio mambo ya pwani?
au mimi mawazo yangu potofu????????
mhhh
mtu kusema ngoja nilee siokwamba
anahisi utaomba kitu na hataki kubemenda mtoto?
na kubebwa mgongoni sio mambo ya pwani?
au mimi mawazo yangu potofu????????
wapi huko?
Chumbani kwake.....
hahaha,uchokozi huo lizzy!
Though i mean it,what i say and what i do are never the same!!!
Huelewi nini?Spika kakukaribisha kusikiliza mziki...sasa unataka au hutaki?lizzy na mwenzio siwaelewi na
bado sijui yeye ni he au she...
sielewi kuwa ni he au she
lizzy na mwenzio siwaelewi na
bado sijui yeye ni he au she...
mwanaume kamkaribisha mwenzake wapate country musicKaribu tupate country music hapa
mwenzake kauliza swali hapawapi huko?
na hapa binti kajibuπππChumbani kwake.....