maana ya maneno haya

maana ya maneno haya

Kuku wa Kabanga

JF-Expert Member
Joined
Oct 28, 2009
Posts
807
Reaction score
368
naomba maana ya haya maneno,tabahari,bubwi,zikua na tobwe.Halafu napenda kujua yafuatayo,wema kwa lugha ya kishairi unaitwaje?,kitabu kilichopigwa chapa,Kibuyu cha kutengenezea siagi,pembe ya ndovu inayokua.
 
Back
Top Bottom