OLS
JF-Expert Member
- Oct 12, 2019
- 426
- 685
Kwa sasa hata kwa baadhi ya matambiko ya kiluguru kuna maneno ya kiluguru utayasikia yanasemwa, haya maana sana ila yanaonesha hali ilivyokuwa kipindi hiko.
Kagone vigonele fungo
Munu mkulu kagona kikunza
Kwekuka wayago tokuja
Hayo maneno utayasikia kwenye matambiko, siku za hivi karibuni yamekuwa yakitamkwa na baadhi ya wasanii wa bongo muvi wanapoingiza uganga. Maneno hayo pia yametajwa na Mbaraka Mwinshehe kwenye wimbo wa Tambiko la Wahenga wimbo ambao amewataja wandewa na machifu wa kiluguru kama Mbago, Hega, Lukwele na Kingalu.
Maana ya maneno hayo
Kalale kama anavyolala fungo
Mkubwa lala ulivyojikunja (walikuwa wanazika mtu akiwa na umbo kama yupo kwenye tumbo la uzazi)
Wewe nenda wenzako tunakula. (Ni kama kina Kibonde walivyokuwa wanasema ukifa, rafiki zako watakunywa zako bia)
Haya, Mkoba Mfuko nawaaga kwa leo, tukutane next issue kuhusu waluguru
Kagone vigonele fungo
Munu mkulu kagona kikunza
Kwekuka wayago tokuja
Hayo maneno utayasikia kwenye matambiko, siku za hivi karibuni yamekuwa yakitamkwa na baadhi ya wasanii wa bongo muvi wanapoingiza uganga. Maneno hayo pia yametajwa na Mbaraka Mwinshehe kwenye wimbo wa Tambiko la Wahenga wimbo ambao amewataja wandewa na machifu wa kiluguru kama Mbago, Hega, Lukwele na Kingalu.
Maana ya maneno hayo
Kalale kama anavyolala fungo
Mkubwa lala ulivyojikunja (walikuwa wanazika mtu akiwa na umbo kama yupo kwenye tumbo la uzazi)
Wewe nenda wenzako tunakula. (Ni kama kina Kibonde walivyokuwa wanasema ukifa, rafiki zako watakunywa zako bia)
Haya, Mkoba Mfuko nawaaga kwa leo, tukutane next issue kuhusu waluguru