Maana ya maneno

PURT50

Member
Joined
Oct 20, 2018
Posts
43
Reaction score
36
Jamani naomba kujua maana ya maneno haya ambayo yamekuwa yakitumika sana sasa hivi: kudamshi,konki,kudanga
 
Jamani naomba kujua maana ya maneno haya ambayo yamekuwa yakitumika sana sasa hivi: kudamshi,konki,kudanga
Kudanga na kudamshi yametokana na neno kuda ambayo Lina maana ya kupandisha nguo juu ya mapaja kwa kujiandaa na Jambo fulani,ko kwa sasa haya maneno,kudamshi utumika wakati wa mambo kwa kumsifia mdada,kama kupendeza,urembo,uzuri au utamu au wakati wa faragha,lakini kudanga utumika wakati wa mdada anapoamua kutoa raha hasahasa kwa kutafuta pesa ,lakini konki umaanisha zaidi au murua
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…