Maana ya msemo huu

Maana ya msemo huu

kanyagio

JF-Expert Member
Joined
Dec 10, 2009
Posts
1,021
Reaction score
366
ndugu zanguni nimeona kwenye gari msemo huu "Nguruwe pita leo sina mkuki";
nakumbuka Malila alshawahi kuutuo katika one of the post, pia nadhani (sikumbuki vizuri) kuna member mmoja ana signature yenye msemo huu.

sasa nauliza maana ya msemo huu ni nini?
 
Ungemuuliza mwenye hiyo signature ungepata jibu
 
Back
Top Bottom