Ozizosiana_
Member
- Apr 29, 2017
- 8
- 2
#Ni sawa na kuwa na namba 500 kwenye cm yako afu ukafuta namba 499 namba inayo baki ndo mke.
#JE unaweza chati na namba moja maishani mwako mwote...?[emoji29] [emoji1] [emoji2] [emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji29]
Hahgahahh umetishaaaunaweza ukala chakula kimoja kila siku?????
UmeonaeeYani ni mtihani
[emoji15] [emoji15] [emoji15] ?Kwa hiyo maana ya ndoa ni ku-chat?
ah mkuu naona unatuchanganyia mafaili tuHahgahahh umetishaaa
#Ni sawa na kuwa na namba 500 kwenye cm yako afu ukafuta namba 499 namba inayo baki ndo mke.
#JE unaweza chati na namba moja maishani mwako mwote...?[emoji29] [emoji1] [emoji2] [emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji29]
Acha dharau,wengine tupo kwenye maombi vijana wetu muda Si mrefu wanaanza mitihani ya kidato cha sita.Kushinda jamiiforums ni kupunguza sitelesi za maisha.inaonekana wachangiaji wote hapo juu hamjaoa
HahahahH umetisha kakinaonekana wachangiaji wote hapo juu hamjaoa
[emoji85] [emoji87] [emoji87] [emoji87] [emoji87]inaonekana wachangiaji wote hapo juu hamjaoa
[emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28]Michepuko sio dili, baki njia kuu na heshimu ndoa yako!