Elisha Chuma
JF-Expert Member
- Jul 22, 2013
- 282
- 275
Umuhimu wa nembo na maana ya nembo katika biashara ama chapa yako.
[emoji843]
Logo/Nembo ni nini?
[emoji843]
Nembo ni alama maalum inayokutambulisha sehemu fulani katika jamii, hiyo ni maana ya nembo kwa ujumla lakini nembo ( logo) maana yake haitofautiani sana na maana ya hapo juu,logo maana yake ni alama ya utambulisho wako katika biashara ambayo inatengenezwa kwa umakini na utaalamu maalum kwa ajili ya biashara yako.
[emoji843]
Logo/Nembo inamaana gani kwako
[emoji843]
Imekuwa kawaida kwa watu kutengeneza nembo mtu anapomiliki biashara basi anajua kitu cha kwanza ni nembo japo hajui inaumuhimu gani katika biashara nilishawahi kukutana na mmiliki wa biashara moja nikamuuliza kwanini ananembo katika biashara yake majibu yake ilikuwa ni " kama biashara lazima na mimi niwe na logo, na unapomiliki biashara nembo ni lazima ndio maana ninayo" nikamuuliza tena inakusaidia nini katika biashara yako alinijibu " inasaidia kwenye business card na invoice ndio naiweka pale inanionyesha professional katika ninachokifanya" hayo yanaweza kuwa ni mawazo yako pia kuhusu nembo au logo na ukweli ni kwamba hiyo sio maana ya nembo katika biashara yako.
[emoji843]
Historia ya Logo/Nembo
[emoji843]
Nembo au logo imeanza kutumika miaka mingi iliyopita ambapo matumizi yake yamekuwa yanabadilika kizazi hadi kizazi mwanzoni logo ilikuwa inatumika kama alama tu ya kuonyesha biashara kama ipo bila kuwa na maana nyingine na umuhimu mwingine .
[emoji843]
Baadae mambo yakaanza kubadilika zikaanza kutengeneza nembo/ logo ambazo zilikuwa zinaonyesha kazi ya biashara na kuitambulisha kwa wateja wake peke yake logo za kipindi hiki nyingi zilikuwa za kuonyesha kazi za biashara hivyo nembo hizo zilikuwa zina mambo mengi na zilikwa na kelele ( kwa maana ya kuonekana na vitu vingi ambavyo vinaonekana katika logo hiyo) hali imebadilika sasa hivi nembo sio alama ya kuonyesha kazi za biashara tena sasa nembo imehamia sehemu nyingine kabisa nembo ni alama inayokutambulisha katika wigo wa biashara .
[emoji843]
hebu jiangalie kama mfanyabiashara nembo yako iko upande gani na uko zama zipi ? Na je uko sawia sehemu uliyopo?
[emoji843]
Itaendelea.....
[emoji843]
Logo/Nembo ni nini?
[emoji843]
Nembo ni alama maalum inayokutambulisha sehemu fulani katika jamii, hiyo ni maana ya nembo kwa ujumla lakini nembo ( logo) maana yake haitofautiani sana na maana ya hapo juu,logo maana yake ni alama ya utambulisho wako katika biashara ambayo inatengenezwa kwa umakini na utaalamu maalum kwa ajili ya biashara yako.
[emoji843]
Logo/Nembo inamaana gani kwako
[emoji843]
Imekuwa kawaida kwa watu kutengeneza nembo mtu anapomiliki biashara basi anajua kitu cha kwanza ni nembo japo hajui inaumuhimu gani katika biashara nilishawahi kukutana na mmiliki wa biashara moja nikamuuliza kwanini ananembo katika biashara yake majibu yake ilikuwa ni " kama biashara lazima na mimi niwe na logo, na unapomiliki biashara nembo ni lazima ndio maana ninayo" nikamuuliza tena inakusaidia nini katika biashara yako alinijibu " inasaidia kwenye business card na invoice ndio naiweka pale inanionyesha professional katika ninachokifanya" hayo yanaweza kuwa ni mawazo yako pia kuhusu nembo au logo na ukweli ni kwamba hiyo sio maana ya nembo katika biashara yako.
[emoji843]
Historia ya Logo/Nembo
[emoji843]
Nembo au logo imeanza kutumika miaka mingi iliyopita ambapo matumizi yake yamekuwa yanabadilika kizazi hadi kizazi mwanzoni logo ilikuwa inatumika kama alama tu ya kuonyesha biashara kama ipo bila kuwa na maana nyingine na umuhimu mwingine .
[emoji843]
Baadae mambo yakaanza kubadilika zikaanza kutengeneza nembo/ logo ambazo zilikuwa zinaonyesha kazi ya biashara na kuitambulisha kwa wateja wake peke yake logo za kipindi hiki nyingi zilikuwa za kuonyesha kazi za biashara hivyo nembo hizo zilikuwa zina mambo mengi na zilikwa na kelele ( kwa maana ya kuonekana na vitu vingi ambavyo vinaonekana katika logo hiyo) hali imebadilika sasa hivi nembo sio alama ya kuonyesha kazi za biashara tena sasa nembo imehamia sehemu nyingine kabisa nembo ni alama inayokutambulisha katika wigo wa biashara .
[emoji843]
hebu jiangalie kama mfanyabiashara nembo yako iko upande gani na uko zama zipi ? Na je uko sawia sehemu uliyopo?
[emoji843]
Itaendelea.....