Boniphace Kichonge
JF-Expert Member
- Jul 31, 2017
- 1,605
- 1,957
Wajuzi wa lugha hili neno linatumiwa sana na wadau mbalimbali,hivi nini hasa tafsiri yake?na je ni wakati hutakiwa kutumika?Je twaweza kutoa mifano?
Aksanteni
Aksanteni
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio mzeeActually nimedhamiria kuwasaidia Taifa lenye nguvu Duniani liwe Tanzania,makofi tafadhalini jamani.
Kiukweli pia inafaaactually=kiuhalisia/kimsingi