Maana Ya neno halisi ya "Nalikuja"

Maana Ya neno halisi ya "Nalikuja"

MwendaOmo

JF-Expert Member
Joined
Dec 16, 2013
Posts
774
Reaction score
723
Mat5:17 Msidhani ya kuwa nalikuja kuitangua torati au manabii; la, sikuja kutangua, bali kutimiliza
 
[MENTION]Nashukuru [/MENTION]sana mkuu kwa mchango wako. Kajua kuwa kuandika kulikuja baada ya kusema. Kwa hivyo, yaweza kuwa 'nalikuja' ni lahja ya sehemu fulani ambayo sio standard Swahili, au utasema ni jinsi neno Nilikuja lilikuwa likiandikwa kabla ya usanifishaji.

Shukrani
 
Back
Top Bottom