N NIMIMI Senior Member Joined Apr 2, 2011 Posts 170 Reaction score 16 Apr 4, 2011 #1 Wadau naomba kufahamu Maana ya neno 'ULAFI?'
P Prime Dynamics JF-Expert Member Joined Dec 30, 2010 Posts 551 Reaction score 249 Apr 9, 2011 #2 Ulafi maana yake ni tamaa
TONGONI JF-Expert Member Joined Feb 18, 2011 Posts 1,041 Reaction score 375 Apr 19, 2011 #3 Ulafi ni kuchukua zaidi ya kile unacho stahili tena na mara nyingi huambatana na ufujaji iwe chakula au madaraka
Ulafi ni kuchukua zaidi ya kile unacho stahili tena na mara nyingi huambatana na ufujaji iwe chakula au madaraka
Husninyo JF-Expert Member Joined Oct 24, 2010 Posts 23,851 Reaction score 9,472 Apr 19, 2011 #4 Maana yake uroho.
The Boss JF-Expert Member Joined Aug 18, 2009 Posts 49,282 Reaction score 117,244 Apr 19, 2011 #5 yaani hamna tabia ninayochukia kama mtu mzima awe mlafi wa chakula..... hata matunda ya watoto hayakai kwenye friji
yaani hamna tabia ninayochukia kama mtu mzima awe mlafi wa chakula..... hata matunda ya watoto hayakai kwenye friji
Husninyo JF-Expert Member Joined Oct 24, 2010 Posts 23,851 Reaction score 9,472 Apr 20, 2011 #6 The Boss said: yaani hamna tabia ninayochukia kama mtu mzima awe mlafi wa chakula..... hata matunda ya watoto hayakai kwenye friji Click to expand... ulafi maana yake nini?
The Boss said: yaani hamna tabia ninayochukia kama mtu mzima awe mlafi wa chakula..... hata matunda ya watoto hayakai kwenye friji Click to expand... ulafi maana yake nini?
Viper JF-Expert Member Joined Dec 21, 2007 Posts 3,666 Reaction score 1,404 Apr 21, 2011 #7 tamaa kupita kiasi