Maana ya Uhuru wa kujieleza na Umuhimu wake

Status
Not open for further replies.

JamiiTalks

JF Advocacy Team
Joined
Aug 7, 2018
Posts
685
Reaction score
1,124


Uhuru wa kujieleza ni haki inayompa kila mtu uhuru wa kutoa na kupokea maoni, kupokea na kutoa taarifa na mawazo bila kuingiliwa.

Uhuru wa kujieleza humfanya kila Mwananchi kuwa sehemu ya Serikali na kumfanya awe na uzalendo na Nchi yake.

Uhuru wa kujieleza unalinda haki ya mawazo na taarifa mbalimbali zinazompa Mwanachi nafasi ya kuwa sehemu ya maendeleo.
 
Upvote 1
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…