Maandalizi ya kongoro

Maandalizi ya kongoro

Hivi punde

JF-Expert Member
Joined
Apr 1, 2017
Posts
2,554
Reaction score
8,587
Jamani jamani !

Utamu wa kongoro una siri yake .

Maandalizi ya kongoro ni shida.

Nyembe , visu na nyenzo kadhaa chafuchafu hutumika kuandaa chakula hicho pendwa hasa nyanda za kaskazini mwa Tanzania.

Kutoa manyoya ni kazi ngumu inayohitaji nyenzo zenye makali haswa. Wasiwasi wangu huwa ni zile nyembe , siamini kama huwa ni mpya au used ! Na used toka wapi na kwa nani ?

Hatari sana !

Utamu wa kongoro una siri kubwa.
 
Jamani jamani !

Utamu wa kongoro una siri yake .

Maandalizi ya kongoro ni shida.

Nyembe , visu na nyenzo kadhaa chafuchafu hutumika kuandaa chakula hicho pendwa hasa nyanda za kaskazini mwa Tanzania.

Kutoa manyoya ni kazi ngumu inayohitaji nyenzo zenye makali haswa. Wasiwasi wangu huwa ni zile nyembe , siamini kama huwa ni mpya au used ! Na used toka wapi na kwa nani ?

Hatari sana !

Utamu wa kongoro una siri kubwa.
huwa wanatumia hata used poa tuu, mradi kushiba mkuu
 
Hahaa.... mimi ndiyo maana napenda kupiga supu ya utumbo
 
Huku kwetu linauzwa likiwa limesha tolewa manyoya na kukatwa katwa
 
Back
Top Bottom