Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 301,577
- 754,412
Ni nani ambaye hapendi kuwa na mtoto/watoto? Asilimia 90 wanapenda.. Lakini mtoto/watoto hawapatikani dukani ama gulioni ama mnadani kwamba utaenda Kuchagua uwatakao na kununua.. La hasha
Kupata mtoto/watoto ni commitment moja kubwa sana yenye kuhitaji utayari na kujitoa kwa wazazi wote wawili
Ogopa sana wazazi wanaosema..
. Mimi nataka tu mwanamke wa kunizalia/kuzaa naye
. Mimi nataka tu mwanaume anipe ujauzito
Wazazi wa namna hii hawajitambui na hawaelewi commitment waliyonayo kwenye kuleta mtoto/watoto duniani
Kwanza ni lazima tufahamu ya kwamba kwenye kipengele cha kuzaa mama anayo role kubwa sana na kimsingi na kipekee ndiye ajuaye baba halisi wa mtoto..
Hivyo basi mwanamke asi force kubeba mimba ya mtu ambaye hayuko tayari kuzaa naye
Ni lazima na ni muhimu suala la kuzaa likubalike na pande zote mbili za wahusika bila kutumia ushawishi wa aina yoyote ile wala kulazimishana
Watoto wengi wa mitaani ni matokeo ya hilo jambo hapo juu
Kabla ya kukubaliana kuzaa ni lazima sana sana
Muwe mnapendana, Mnaheshimiana, Mnasaidiana, Mnajaliana, Mna hofu ya Mungu. Na mko tayari kuzikabili changamoto za kiumbe kipya duniani kupitia nyie
Changamoto wakati wa kutafuta kutunga mimba
Changamoto wakati wa ujauzito, Changamoto baada ya kujifungua..! Mimba zina mengi.. Mazuri na mabaya..
Vyovyote mimba itakavyokuja ni muhimu sasa wahusika wakuu washikamane sana...! Na hili litawezekana tu endapo mlishaishi kwenye mahusiano kwa muda mrefu na kufamiana vema ndani nje!
Kuna mimba huja na baraka mpaka mtoto kuzaliwa.. Hapa hakuna shida kabisa! Lakini kuna mimba huja na changamoto hasi kuanzia kutungwa mpaka kuzaliwa!
Hapa ndio pale umuhimu wa kufahamiana vema unapoonekana.. Kwakuwa ni rahisi mno kukimbiana, kuchukiana kugombana ama hata kukwepana!
Kupata mtoto/watoto ni commitment moja kubwa sana yenye kuhitaji utayari na kujitoa kwa wazazi wote wawili
Ogopa sana wazazi wanaosema..
. Mimi nataka tu mwanamke wa kunizalia/kuzaa naye
. Mimi nataka tu mwanaume anipe ujauzito
Wazazi wa namna hii hawajitambui na hawaelewi commitment waliyonayo kwenye kuleta mtoto/watoto duniani
Kwanza ni lazima tufahamu ya kwamba kwenye kipengele cha kuzaa mama anayo role kubwa sana na kimsingi na kipekee ndiye ajuaye baba halisi wa mtoto..
Hivyo basi mwanamke asi force kubeba mimba ya mtu ambaye hayuko tayari kuzaa naye
Ni lazima na ni muhimu suala la kuzaa likubalike na pande zote mbili za wahusika bila kutumia ushawishi wa aina yoyote ile wala kulazimishana
Watoto wengi wa mitaani ni matokeo ya hilo jambo hapo juu
Kabla ya kukubaliana kuzaa ni lazima sana sana
Muwe mnapendana, Mnaheshimiana, Mnasaidiana, Mnajaliana, Mna hofu ya Mungu. Na mko tayari kuzikabili changamoto za kiumbe kipya duniani kupitia nyie
Changamoto wakati wa kutafuta kutunga mimba
Changamoto wakati wa ujauzito, Changamoto baada ya kujifungua..! Mimba zina mengi.. Mazuri na mabaya..
Vyovyote mimba itakavyokuja ni muhimu sasa wahusika wakuu washikamane sana...! Na hili litawezekana tu endapo mlishaishi kwenye mahusiano kwa muda mrefu na kufamiana vema ndani nje!
Kuna mimba huja na baraka mpaka mtoto kuzaliwa.. Hapa hakuna shida kabisa! Lakini kuna mimba huja na changamoto hasi kuanzia kutungwa mpaka kuzaliwa!
Hapa ndio pale umuhimu wa kufahamiana vema unapoonekana.. Kwakuwa ni rahisi mno kukimbiana, kuchukiana kugombana ama hata kukwepana!