Cytochrome p450 JF-Expert Member Joined Mar 19, 2019 Posts 5,638 Reaction score 15,044 Jan 11, 2025 #21 Am in
Mshana Jr Platinum Member Joined Aug 19, 2012 Posts 301,577 Reaction score 754,412 Jan 12, 2025 Thread starter #22 Huyu ndio wale wenye mapepo ya ngono.. Ina maana wote walikula dry?
Intelligent businessman JF-Expert Member Joined Sep 6, 2022 Posts 31,913 Reaction score 65,514 Jan 14, 2025 #23 Mgeni wa Jiji said: Ila dunia ina mambo mengi sana, mtu mmoja akasema zingatieni sana mwezi mnaoitunga hiyo mimba msije kwa mchanganyiko wa nguvu zenu mkaleta balaa duniani. Click to expand... Ni kweli kaka, Kuna siku natazama kipindi Cha kikorea. Wakawa wana zingatia vitu Kama kuchomoka kaa jua, mwezi nili shangaa Sana. Maana Wana sema Kuna muda vina kuja na laana au baraka.
Mgeni wa Jiji said: Ila dunia ina mambo mengi sana, mtu mmoja akasema zingatieni sana mwezi mnaoitunga hiyo mimba msije kwa mchanganyiko wa nguvu zenu mkaleta balaa duniani. Click to expand... Ni kweli kaka, Kuna siku natazama kipindi Cha kikorea. Wakawa wana zingatia vitu Kama kuchomoka kaa jua, mwezi nili shangaa Sana. Maana Wana sema Kuna muda vina kuja na laana au baraka.
majam19 JF-Expert Member Joined Nov 13, 2024 Posts 900 Reaction score 971 Feb 23, 2025 #24 Akili nying sana mkuu ushaur mzur sana Kwa sisi vijana
Smart911 Platinum Member Joined Jan 3, 2014 Posts 135,167 Reaction score 160,806 Feb 23, 2025 #25 Ngoja waje... Cc: Mahondaw