Maandalizi ya Maulid Kwa Zitto

Maandalizi ya Maulid Kwa Zitto

Mohamed Said

JF-Expert Member
Joined
Nov 2, 2008
Posts
21,967
Reaction score
32,074
MATAYARISHO YA MAULID KWA ZITTO LEO USIKU

Mida hii kuna matayarisho makubwa uwanjani Kwa Zitto Mtaa wa Kionga na Jaribu, Magomeni Mapipa.

Uwanja uliozoeleka kwa chips na berbeque za kila aina umegeuka kuwa uwanja wa Qur'an, kumsalia Mtume SAW na visomo vya kuwaombea maghufira masheikh zetu, wazazi wetu, ndugu na jamaa waliotangulia mbele ya haki.

Tunasubiri baada ya Isha ndipo shughuli In Shaa Allah ianze rasmi.

Imependeza sana kwa shughuli hii kuanza huu Mfungo Tano kama ishara ya kuukaribisha Mfungo Sita ambao ndiyo khasa Mwezi wa Maulid.

Karibuni Nyote.

1723225086009.jpeg
 
MATAYARISHO YA MAULID KWA ZITTO LEO USIKU

Mida hii kuna matayarisho makubwa uwanjani Kwa Zitto Mtaa wa Kionga na Jaribu, Magomeni Mapipa.

Uwanja uliozoeleka kwa chips na berbeque za kila aina umegeuka kuwa uwanja wa Qur'an, kumsalia Mtume SAW na visomo vya kuwaombea maghufira masheikh zetu, wazazi wetu, ndugu na jamaa waliotangulia mbele ya haki.

Tunasubiri baada ya Isha ndipo shughuli In Shaa Allah ianze rasmi.

Imependeza sana kwa shughuli hii kuanza huu Mfungo Tano kama ishara ya kuukaribisha Mfungo Sita ambao ndiyo khasa Mwezi wa Maulid.

Karibuni Nyote.

Mzee Mohamed vipi hii ipo kwenye calendar ya serikali
 
MATAYARISHO YA MAULID KWA ZITTO LEO USIKU

Mida hii kuna matayarisho makubwa uwanjani Kwa Zitto Mtaa wa Kionga na Jaribu, Magomeni Mapipa.

Uwanja uliozoeleka kwa chips na berbeque za kila aina umegeuka kuwa uwanja wa Qur'an, kumsalia Mtume SAW na visomo vya kuwaombea maghufira masheikh zetu, wazazi wetu, ndugu na jamaa waliotangulia mbele ya haki.

Tunasubiri baada ya Isha ndipo shughuli In Shaa Allah ianze rasmi.

Imependeza sana kwa shughuli hii kuanza huu Mfungo Tano kama ishara ya kuukaribisha Mfungo Sita ambao ndiyo khasa Mwezi wa Maulid.

Karibuni Nyote.

Maulid ni bidaa
 
Maulid ni bidaa
Lup...
Hilo sina ujuzi nalo.

Nimekuwa mdogo tukisoma maulid msikitini mbele ya masheikh na hawatukukataza kuwa haifai.

Hadi leo maulid zinasomwa.

Lakini mambo ya dini hatulazimishani ikiwa mtu anaona si sawa hapana ugomvi ana haki ya kuacha kusoma.
 
Back
Top Bottom