Maandamano dhidi ya Serikali za kiafrika yajikite kwenye kupinga matumizi makubwa ya viongozi na Serikali

HAKI KWA WOTE

JF-Expert Member
Joined
Nov 30, 2022
Posts
1,108
Reaction score
1,132
Habarini,

Shida zote ndani ya Afrika zinatokana na matumizi makubwa ya serikali kwa kununua magari ya kifahari na kujilipa mishahara na marupurupu makubwa pasipo kujali kuondoa huduma mbovu za wananchi.

Wananchi wagome na kuandamana dhidi ya matumizi mabaya ya raslimalinza serikali na siyo kodi kwani kodi ni muhimu kwa maendeleo ya nchi tatizo ni matumizi mabaya ya fedha za kodi wanazolipa wananchi.

Tukianza na hili mengine yatanyooka yenyewe kama vile siasa safi na huduma bora.

Mawasilisha.
 
2025 CCM
wanaendelea kutawala Tanzania. πŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒ
 
Sasa unataka mbunge au waziri aendeshwe na kluger wakati Toyota land cruiser GXR ya milioni 320 inamfaa kumwendesha. πŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒ Na mafuta bure, malazi bure, 😳😳😳😳
 
Sasa unataka mbunge au waziri aendeshwe na kluger wakati Toyota land cruiser GXR ya milioni 320 inamfaa kumwendesha. πŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒ Na mafuta bure, malazi bure, 😳😳😳😳
Wewe unaona kipi ni sahihi??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…