Elections 2010 Maandamano kupinga ushindi wa mkwere rock city!

Elections 2010 Maandamano kupinga ushindi wa mkwere rock city!

Mumbo

Member
Joined
Oct 31, 2010
Posts
19
Reaction score
0
Nawaaminia wana wa Rock city,ni dalili nzuri kwa maandalizi ya 2015.Mkwere ana kazi kwelikweli na mafisadi wenzie!kupingwa hadharani?????Big up Rais wangu DR.SLAA!Wamekubania mwaka huu,subiri 2015.Habari zaidi,bofya Ghasia Mwanza zapatiwa dawa
 
Kwa Mza, thithiemu watafanya kazi ya ziada sana. Hatutaki utani wa kijinga na kudanganywa na mafisadi!
 
Hayo matokea watayakubali wao na wake zao mimi wala!
 
wasifanye maandamano? Yatafanyika hata ndani ya mioyo yetu . Maandamano is just gesture . Actiom bado mazee
 
Back
Top Bottom