Maandamano Makubwa Kata ya Olijoro Namba 5, Mkoani Manyara Wananchi Wafunga Barabara Kudai Maji, Polisi waingilia kati

Maandamano Makubwa Kata ya Olijoro Namba 5, Mkoani Manyara Wananchi Wafunga Barabara Kudai Maji, Polisi waingilia kati

Mkalukungone mwamba

JF-Expert Member
Joined
Aug 29, 2022
Posts
862
Reaction score
1,755
Wananchi wa Kata ya Olijoro namba 5 Wilayani Simanjiro Mkoani Manyara ambapo leo Agosti 26, 2024 yamefanyika maandamano makubwa ya Wananchi wakiishinikiza Serikali, Kuwapatia maji baada ya huduma hiyo kuikosa kwa muda mrefu sasa.

Wananchi na Viongozi wa Vijiji wamesema changamoto hiyo ni ya muda mrefu licha kuwepo kwa ahadi nyingi ambazo azijatakelezwa hadi sasa.

Aidha wamesema ndoo moja ya maji wanauziwa kwa shilingi 1500. Wananchi hao wamefika mbali zaidi wakidai hawajawahi kumuona mkuu wa Mkoa na Mbunge wa jimbo hilo katika kata yao.

Soma Pia: Manyara: Polisi watumia mabomu kutawanya wananchi waliozingira kituo cha Polisi wakimtaka mtuhumiwa aliyebaka na kumchinja mtoto wa miaka 6

Wamewataka viongozi wa mkoa huo wakiwemo Mkuu wa Mkoa na Mkuu wa Wilaya kufika wajionee watu wanavyoumia kwa shida ya upatikanaji wa huduma muhimu ya maji.

 
Wananchi wa Kata ya Olijoro namba 5 Wilayani Simanjiro Mkoani Manyara ambapo leo Agosti 26, 2024 yamefanyika maandamano makubwa ya Wananchi wakiishinikiza Serikali, Kuwapatia maji baada ya huduma hiyo kuikosa kwa muda mrefu sasa...
Kwamba hao ndio Wana shida ya Maji peke Yao Tanzania nzima? Kwamba wakiandamana ndio maji yatatoka?
 
#ChawaWaMama
Tlaatlaah
Lucas Mwashambwa
ChoiceVariable
Mbaga Jr
Njooni muone hapa Wenzetu wanavyotesekq kwa hila za huyu mnaampamba kila siku
katika muda usio kua mrefu jambo hilo litakua limepatiwa ufumbuzi wa kuduma kadiri ya maelezo ya mamlaka husika, natoa wito wa utulivu na subra kwa watu wote wa eneo husika na maeneo mengine yenye changamoto kama hizo nchini, na kwa kupitia kamati za maendeleo, hususani kamati za maji kutoa yaarifa kwa mamlaka husika mapema iwezekanavyo..

welldone injinia makini sana wa maji kwa maelezo mafupi lakini muhimu na ya kina sana kuhusu suluhu ya maji ktk eneo hilo muhimu nchini,, hii ndio maana halisi ya serikali sikivu ya CCM chini ya jemedari shupavu Dr.Samia suluhu Hassan :KasugaYeah: :KasugaYeah:
 
#ChawaWaMama
Tlaatlaah
Lucas Mwashambwa
ChoiceVariable
Mbaga Jr
Njooni muone hapa Wenzetu wanavyotesekq kwa hila za huyu mnaampamba kila siku
Wewe ulitaka tumpambanie nani
#ChawaWaMama
Tlaatlaah
Lucas Mwashambwa
ChoiceVariable
Mbaga Jr
Njooni muone hapa Wenzetu wanavyotesekq kwa hila za huyu mnaampamba kila siku
Wewe ulitaka tumpambanie nani Kwa maoni Yako?

Pili hakuna mtu anaepambaniwa zaidi ya Taifa chini ya Rais SSH.

Mwisho unataka Samia amalize Changamoto za maji za Toka uhuru ndani ya miaka 4? Wewe unaweza?👇👇

View: https://www.instagram.com/p/C_IGd4pqyu3/?igsh=Y2V4aDUxbzMya2Nx
 
Busara ya Afisa Upelelezi imezidi busara ya Awadhi Hamduni chinja chinja
Wananchi wa Kata ya Olijoro namba 5 Wilayani Simanjiro Mkoani Manyara ambapo leo Agosti 26, 2024 yamefanyika maandamano makubwa ya Wananchi wakiishinikiza Serikali, Kuwapatia maji baada ya huduma hiyo kuikosa kwa muda mrefu sasa.

Wananchi na Viongozi wa Vijiji wamesema changamoto hiyo ni ya muda mrefu licha kuwepo kwa ahadi nyingi ambazo azijatakelezwa hadi sasa.

Aidha wamesema ndoo moja ya maji wanauziwa kwa shilingi 1500. Wananchi hao wamefika mbali zaidi wakidai hawajawahi kumuona mkuu wa Mkoa na Mbunge wa jimbo hilo katika kata yao.

Soma Pia: Manyara: Polisi watumia mabomu kutawanya wananchi waliozingira kituo cha Polisi wakimtaka mtuhumiwa aliyebaka na kumchinja mtoto wa miaka 6

Wamewataka viongozi wa mkoa huo wakiwemo Mkuu wa Mkoa na Mkuu wa Wilaya kufika wajionee watu wanavyoumia kwa shida ya upatikanaji wa huduma muhimu ya maji.

 
Mnajua maandamano makubwa yalivyo lakini..??
 
katika muda usio kua mrefu jambo hilo litakua limepatiwa ufumbuzi wa kuduma kadiri ya maelezo ya mamlaka husika, natoa wito wa utulivu na subra kwa watu wote wa eneo husika na maeneo mengine yenye changamoto kama hizo nchini, na kwa kupitia kamati za :KasugaYeah: :KasugaYeah:
Chawa anatoa wito. Sasa hii ndio Made In Tanzania.
 
Back
Top Bottom