Mkalukungone mwamba
JF-Expert Member
- Aug 29, 2022
- 862
- 1,755
Wananchi wa Kata ya Olijoro namba 5 Wilayani Simanjiro Mkoani Manyara ambapo leo Agosti 26, 2024 yamefanyika maandamano makubwa ya Wananchi wakiishinikiza Serikali, Kuwapatia maji baada ya huduma hiyo kuikosa kwa muda mrefu sasa.
Wananchi na Viongozi wa Vijiji wamesema changamoto hiyo ni ya muda mrefu licha kuwepo kwa ahadi nyingi ambazo azijatakelezwa hadi sasa.
Aidha wamesema ndoo moja ya maji wanauziwa kwa shilingi 1500. Wananchi hao wamefika mbali zaidi wakidai hawajawahi kumuona mkuu wa Mkoa na Mbunge wa jimbo hilo katika kata yao.
Soma Pia: Manyara: Polisi watumia mabomu kutawanya wananchi waliozingira kituo cha Polisi wakimtaka mtuhumiwa aliyebaka na kumchinja mtoto wa miaka 6
Wamewataka viongozi wa mkoa huo wakiwemo Mkuu wa Mkoa na Mkuu wa Wilaya kufika wajionee watu wanavyoumia kwa shida ya upatikanaji wa huduma muhimu ya maji.
Wananchi na Viongozi wa Vijiji wamesema changamoto hiyo ni ya muda mrefu licha kuwepo kwa ahadi nyingi ambazo azijatakelezwa hadi sasa.
Aidha wamesema ndoo moja ya maji wanauziwa kwa shilingi 1500. Wananchi hao wamefika mbali zaidi wakidai hawajawahi kumuona mkuu wa Mkoa na Mbunge wa jimbo hilo katika kata yao.
Soma Pia: Manyara: Polisi watumia mabomu kutawanya wananchi waliozingira kituo cha Polisi wakimtaka mtuhumiwa aliyebaka na kumchinja mtoto wa miaka 6
Wamewataka viongozi wa mkoa huo wakiwemo Mkuu wa Mkoa na Mkuu wa Wilaya kufika wajionee watu wanavyoumia kwa shida ya upatikanaji wa huduma muhimu ya maji.