Uchaguzi 2020 Maandamano na mikutano ya Lissu wakati akitafuta wadhamini ni ukiukaji au siyo ukiukaji wa sheria na kanuni za uchaguzi?

Uchaguzi 2020 Maandamano na mikutano ya Lissu wakati akitafuta wadhamini ni ukiukaji au siyo ukiukaji wa sheria na kanuni za uchaguzi?

EDWIN BAJUNGU

New Member
Joined
Jun 8, 2020
Posts
4
Reaction score
3
Sisi hatujui sheria lakini pale kijiweni kwetu kulitokea ubishi baina yetu tukibishana kuwa maandamano na mikutano inayofanywa na mgombea urais kwa tiketi ya Chadema Tundu Lissu wakati anapita mikoa mbalimbali kutafuta wadhamini kama ni ukiukaji au siyo ukiukaji wa sheria na kanuni za uchaguzi.

Baadhi yetu tulisema ndiyo ni ukiukaji wa sheria na kanuni za uchaguzi. Na wengine tulisema Hapana siyo ukiukaji wa sheria na kanuni za uchaguzi.

Katika makundi haya mawili, kila kundi lilitoa hoja zake kutetea msimamo wake. Japo sidhani kama kuna kundi lililotoa hoja zenye mashiko ya kisheria kwani wote tuliokuwa tunabishana hakuna aliyesomea sheria.

Nadhani msingi wa mabishano yetu ulikuwa ni ushabiki tu kila kundi likishabikia na kutetea upande wa chama linachokipenda. Ubishi ulianza baada ya mmoja wetu kutusomea ujumbe aliyotumiwa katika simu yake ulioeleza kuwa Lisu anaweza kukatwa na kuondolewa na Tume ya uchaguzi kwa kosa la kuanza kampeni mapema kabla ya kuruhusiwa rasmi na Tume ya uchaguzi.

Upande uliokuwa unadai kuwa Lissu amekiuka sheria na kanuni za uchaguzi, ulisisitiza kuwa Lissu lazima akatwe na kuenguliwa na Tume ya uchaguzi katika mbio za kugombea urais kwa kosa la kufanya kampeni mapema kabla ya kuruhusiwa rasmi na Tume ya uchaguzi.

Lakini upande uliokuwa unadai kuwa Lisu hajavunja sheria wala kanuni za uchaguzi. Kundi hilo lilisisitiza kuwa Lisu alikwenda mikoani kutafuta wadhamini.

Lakini kwa kuwa wanachama wa Chadema wamejitokeza kwa wingi kumdhamini Lisu maadui wa chadema na Lisu wanaona wivu na kuanza kudai kuwa Lisu amekiuka sheria na kanuni za uchaguzi.

Ukiwa kama mtu makini unayeamua kwa haki, Je, ni kundi lipi liko sahihi? Je ni kundi linalodai kuwa Lisu amevunja sheria na kanuni za uchaguzi au kundi linalodai kuwa Lisu hajakiuka sheria wala kanuni za uchaguzi?
 
Lisu amesha yakanyaga ujuaji mwingi alafu akili sifur Yan manyumbu ni manyumbu tu ukitaka kujua kama ni Majinga angalia yakiwa yanavuka mto hujirusha kwa nguvu ili kufukuza mamba kumbe ndio yanamwita mamba aje kuyakamata ndio kama Tundulisu [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Sent from my JKM-LX1 using JamiiForums mobile app
 
Lisu amesha yakanyaga ujuaji mwingi alafu akili sifur Yan manyumbu ni manyumbu tu ukitaka kujua kama ni Majinga angalia yakiwa yanavuka mto hujirusha kwa nguvu ili kufukuza mamba kumbe ndio yanamwita mamba aje kuyakamata ndio kama Tundulisu [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Sent from my JKM-LX1 using JamiiForums mobile app
Yaani licha ya kufanya siasa pekee yenu miaka mitano bado mnamuogopa mtu anayefanya siasa miezi miwili tu?!!! Na kosa la kiufundi ambalo NEC, wakilifanya kwa kumkata, litakuwa na athari kubwa sana mbeleni!! Kwani jiwe mwenyewe mbona kila anapopita lazima apige kampeni?!! Ni bora aachwe tu, halafu mfanye makaratee yenu yaleeee!!! Kekundu kanakuwa keusi!!! Ila sasa akianza kampeni balaaa yake sio ndogo, kwani kwa upupu anao umwaga lazima tu utaleta madhara makubwa kwa jiwe hata akishinda, kwani miaka mitano watu wamekuwa wanasikiliza upande mmoja tu, sasa hapo kwenye kutafuta wadhamini, tu amedokoa dokoa tu, ila watu wameshangazwa heeee kumbe tulikuwa tunalishwa matango poli?
 
Yaani licha ya kufanya siasa pekee yenu miaka mitano bado mnamuogopa mtu anayefanya siasa miezi miwili tu?!!! Na kosa la kiufundi ambalo NEC, wakilifanya kwa kumkata, litakuwa na athari kubwa sana mbeleni!! Kwani jiwe mwenyewe mbona kila anapopita lazima apige kampeni?!! Ni bora aachwe tu, halafu mfanye makaratee yenu yaleeee!!! Kekundu kanakuwa keusi!!! Ila sasa akianza kampeni balaaa yake sio ndogo, kwani kwa upupu anao umwaga lazima tu utaleta madhara makubwa kwa jiwe hata akishinda, kwani miaka mitano watu wamekuwa wanasikiliza upande mmoja tu, sasa hapo kwenye kutafuta wadhamini, tu amedokoa dokoa tu, ila watu wameshangazwa heeee kumbe tulikuwa tunalishwa matango poli?
Hatumuogopi Uyo tahira ila tunataka tumfundishe Adabu yeye si jeur ngoja tumuonyeshe

Sent from my JKM-LX1 using JamiiForums mobile app
 
Kwani ndugu yenu alipoenda kuchukua fomu,alifanyqje?

Au hamkuona maandamano na mikusanyiko alivyojaza wanafunzi pale Ofisi za CCM Dodoma?
 
Lisu amesha yakanyaga ujuaji mwingi alafu akili sifur Yan manyumbu ni manyumbu tu ukitaka kujua kama ni Majinga angalia yakiwa yanavuka mto hujirusha kwa nguvu ili kufukuza mamba kumbe ndio yanamwita mamba aje kuyakamata ndio kama Tundulisu [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Sent from my JKM-LX1 using JamiiForums mobile app
Yaani wewe unachomzidi nyumbu ni kuongea tu ila kichwani huna tofauti nao!
 
Zamani mlikua mnajiongezea vifungu vya sheria kimya kimyaaa sababu mlikua mnakutana na wanasiasa wasojua sheria.

Ni uchaguz 2015 wakat Steven Nyerere mnamrekodisha sauti ya nyerere baadae mnazirusha kwenye Kipindi cha "Hotuba ya Baba ,kama sio nguvu zako nyerere "..

CCM WAPUUZI SANAAA...huo mchezo mmeanza nao kitambo sanaa mpaka Kigogo wa Twita alivowaambua.
 
Zamani mlikua mnajiongezea vifungu vya sheria kimya kimyaaa sababu mlikua mnakutana na wanasiasa wasojua sheria.

Ni uchaguz 2015 wakat Steven Nyerere mnamrekodisha sauti ya nyerere baadae mnazirusha kwenye Kipindi cha "Hotuba ya Baba ,kama sio nguvu zako nyerere "..

CCM WAPUUZI SANAAA...huo mchezo mmeanza nao kitambo sanaa mpaka Kigogo wa Twita alivowaambua.
Du hii ...ya Nyerere sikuipata ...jamani! CCM hiihii ilivyokuwa think tank ya Afrika na Dunia!
 
Lisu amesha yakanyaga ujuaji mwingi alafu akili sifur Yan manyumbu ni manyumbu tu ukitaka kujua kama ni Majinga angalia yakiwa yanavuka mto hujirusha kwa nguvu ili kufukuza mamba kumbe ndio yanamwita mamba aje kuyakamata ndio kama Tundulisu [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Sent from my JKM-LX1 using JamiiForums mobile app
Nawe ndo walewale wakuongea kiushabiki bila kuorodhesha sheria za NEC alizozivunja Lissu. Acha kubebwa na upepo usiojua unavuma kuelekea upande gani...
Lissu hajavunja kanuni wala sheria hata moja ya NEC, hizo za kuanza kampeni kabla ya kuruhusiwa ni sheria za chama cha CCM na si za tume ya uchaguzi taifa.
Tusiwewashabiki bila kusimamia hoja
 
Hatumuogopi Uyo tahira ila tunataka tumfundishe Adabu yeye si jeur ngoja tumuonyeshe

Sent from my JKM-LX1 using JamiiForums mobile app
Wewe una uwezo wa kumuonesha nini?!
You're very conservative my friend
Zama zimebadirika, Tanzania lazima ikimbie na upepo wa dunia ukimbiavyo. Taifa hili linacheleweshwa kusonga mbele kwa uwepo wa watu kama wewe ambao ni stagnant
 
Back
Top Bottom