britanicca
JF-Expert Member
- May 20, 2015
- 16,295
- 33,994
Hii ni hali nchini uingereza maandamano yakiendelea kushinikiza mseven kuachia madaraka, na kumuachia Bob wine,
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Museveni asome alama za nyakati asigombee tena aondoke na heshima iliobakia
Sent using Jamii Forums mobile app
Trump ana akili sana, atajifanya kumtaka mu7 ang'atuke ili kiongozi wa malaika apanue domo lake aje akipate cha mtema kuni, na mu7 alivyo na ukaribu na kiongozi wa malaika, sidhani kama jiwe atakaa kimya
Hii mjinga kuelewa mpka shule ya kindadate arudie tenaTrump ana akili sana, atajifanya kumtaka mu7 ang'atuke ili kiongozi wa malaika apanue domo lake aje akipate cha mtema kuni, na mu7 alivyo na ukaribu na kiongozi wa malaika, sidhani kama jiwe atakaa kimya
Yule siko la kufa, hakuna wa kumfanya lolote labda NATO wamwage silaha Kwa wananchi wamtoe.Hatima yake Museven Imefika. Atoke tu aje kwa Rafiki apewe hata ubunge.Tanzania hatuna ubaguzi
Sent using Jamii Forums mobile app
Sikio la kufa tunalikata na kulitupilia mbaliYule siko la kufa, hakuna wa kumfanya lolote labda NATO wamwage silaha Kwa wananchi wamtoe.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuingia kama kuna kizuizi cha kuzuia wao kukipata wakitakacho Kwa ug au Tanzania bado hakuna kizuizi cha wao kuvuna.
Mkoloni mweusi mpore kimada atasemehe Lkn sio tonge. Huwa wanaondolewa sio kuondoka.Museveni asome alama za nyakati asigombee tena aondoke na heshima iliobakia
Sent using Jamii Forums mobile app
Sababu wameishi vibaya na jamii hivo uogopa visasi,ikiwemo jela ,maana wana maadui wengi kuliko marafiki.Yeyote aingiae atamwacha Salama, hivo wanaona heri wafie madarakani si kwamba wanapenda sana kuongoza,wanahofia usalama wao,Mugabe wamemuacha sababu ashafika saa 12 jioni muda wowote atarudi kwa Muumba wake kulipwa kulingana na uovu aliowafanyia wanadamu wengine, zaid afanye tu toba kama Iddi Amini.Viongozi wanaofanya mambo ya hovyo ikiwa ni pamoja na vitendo viovu ni waoga sana kuachia madaraka kwakuwa hawawaamini hata watu wao ndani ya vyama vyao.
Angalia viongozi wote wa kiafrika wanaotaka kufia madarakani uone walivyo na rekodi mbaya.
Yeye mwisho wake ushafika kiburi chake akimsaidii,asipoondoka kipindi hiki,kipindi cha pili atoshinda labdaAtafanya nini? Yeye anatamba huko ndani tu,nje hapawezi.