Maandamano ya BLM yalipikwa na media kwa kuficha ukweli na kugharimu maisha ya watu, je hii ni sawa?

Maandamano ya BLM yalipikwa na media kwa kuficha ukweli na kugharimu maisha ya watu, je hii ni sawa?

sky soldier

JF-Expert Member
Joined
Mar 30, 2020
Posts
5,407
Reaction score
19,264
1613124547443.png


TAZAMA VIDEO HAPA

Ni siku ambayo media ilileta taharuki kwa kuijazia chumvi habari ya Mwafrika kuuwawa na mapolisi kitu kilichopelekea Wafanya biashara kuingia hasara kwa kuvamiwa maduka , Watu wengi kuuawa, watu wengi kuwa vilema, Mindombinu kuharibika, Nembo za taifa kama masananu kuharibiwa, Mali za watu kuharibiwa

George floyd aliuliwa May lakini cha ajabu ni kwamba hii video imetolewa baada ya miezi mitatu huko August

Pia kwa kuonesha hii video hawataki ifike mbali ni mara nyingi ukitaka kuiangalia linatokea bango kubwa la onyo kuhakikisha kuiangalia na usipokua ume login tofauti na video nyingine za floyd ambazo unaweza kuangalia bila retiction

Hio video hapo juu ya tukio zima liliotokea ilibanwa maksudi ili isifkie watu wengi katika kipindi cha maandamano kwasababu Main stream media iliogopa itapooza vurugu na maandamano

Camera zinazowekwa vifuani mwa polisi huenda ndio chanzo kinachobidi kiamike zaidi kuliko story za media

Media haikuzungumzia kwa kina kwamba huyu mtu alifanya uhalifu wa kutumia noti feki, alikuwa haonyeshi ushirikiano kukwa chini ya ulinzi, madaktari walifanya kila jitihana kumuokoa, n.k
 
Ni kweli kabisa unachoongea.

Cnn, Msnbc, abc, TWITTER, FB, walihusika sana.

Hio video ilitoka baada ya miezi mitatu kwanini?? kwanin haipendekezwi kuangaliwa ili watu wajue ukweli halisi?/

Sikani kwmba kuwa kuna mapolisi wapo wanaoonea watu weusi lakini media ilichofanya kwa kuwapa watu stori iliyopikwa ni jambo ambalo halikubaliki hata kidogo, Huyu George floyd alikuwa katumia noti feki na alikuwa mbishi hataki kuingia kwenye gari la polisi ila media ilichofanya ni kuweka tu kile kipande kakanyagwa goti kwasababu ya ubishi wake.

Licha ya hivyo hii ilikaa kisiasa pia kwa kujaribu kumchafua zaidi Trump, Wabunge kama ilhan omar na yule kichaa wa new york Alexandra cortez walienda mbali zaidi kutaka mapolisi wapunguzwe na bajeti yao ipinguzwe, walipoambiwa nao watolewe ulinzi wakawa midomo wazi tu hawana cha kujibu.

Leo hii nashangaa haya maandamano yaliyoleta vurugu kubwa, watu kupigwa, watu kuuawa, maduka kufilisika kwa kuvamiwa, n.k haya maandamano ndio yapo katika nominees wa noble prize!!! ama kweli Media sio kitu cha mchezo.

Kwa ufupi haya maandamano yalichochewa sana na hawa democrats na hivi vyombo vyao kama youtube, ukweli upo kwenye hio video inayominywa.

Over!!!
 
Ni kweli kabisa unachoongea.

Cnn, Msnbc, abc, TWITTER, FB, walihusika sana.

Hio video ilitoka baada ya miezi mitatu kwanini?? kwanin haipendekezwi kuangaliwa ili watu wajue ukweli halisi?/

Sikani kwmba kuwa kuna mapolisi wapo wanaoonea watu weusi lakini media ilichofanya kwa kuwapa watu stori iliyopikwa ni jambo ambalo halikubaliki hata kidogo, Huyu George floyd alikuwa katumia noti feki na alikuwa mbishi hataki kuingia kwenye gari la polisi ila media ilichofanya ni kuweka tu kile kipande kakanyagwa goti kwasababu ya ubishi wake.

Licha ya hivyo hii ilikaa kisiasa pia kwa kujaribu kumchafua zaidi Trump, Wabunge kama ilhan omar na yule kichaa wa new york Alexandra cortez walienda mbali zaidi kutaka mapolisi wapunguzwe na bajeti yao ipinguzwe, walipoambiwa nao watolewe ulinzi wakawa midomo wazi tu hawana cha kujibu.

Leo hii nashangaa haya maandamano yaliyoleta vurugu kubwa, watu kupigwa, watu kuuawa, maduka kufilisika kwa kuvamiwa, n.k haya maandamano ndio yapo katika nominees wa noble prize!!! ama kweli Media sio kitu cha mchezo.

Kwa ufupi haya maandamano yalichochewa sana na hawa democrats na hivi vyombo vyao kama youtube, ukweli upo kwenye hio video inayominywa.

Over!!!
Na VP kuhusu mshkaj kuomba poo kwa kumwambia askar kuwa hawez pumua na bado askar akaendelea kufanya shughul zake pia walitudanganya???
 
Na VP kuhusu mshkaj kuomba poo kwa kumwambia askar kuwa hawez pumua na bado askar akaendelea kufanya shughul zake pia walitudanganya???
Huwezi pumua na ulishasumbua askari kwa dakika zaidi ya 15 hutaki kufungwa pingu wala kukamatwa??.Askari nae ni binadamu na ana hasira vile vile,sasa inawezekana kumkanyaga shingo ndio ilikuwa the only way ya kumtuliza,sasa ile kusema i cant breath askari alishakuwa na hasira hawezi kukuskiliza.
Key point:Askazi akikwmbia hands up,jaribu kutii uone kama utapata hata mkwaruzo...
 
Ni kweli kabisa unachoongea.

Cnn, Msnbc, abc, TWITTER, FB, walihusika sana.

Hio video ilitoka baada ya miezi mitatu kwanini?? kwanin haipendekezwi kuangaliwa ili watu wajue ukweli halisi?/

Sikani kwmba kuwa kuna mapolisi wapo wanaoonea watu weusi lakini media ilichofanya kwa kuwapa watu stori iliyopikwa ni jambo ambalo halikubaliki hata kidogo, Huyu George floyd alikuwa katumia noti feki na alikuwa mbishi hataki kuingia kwenye gari la polisi ila media ilichofanya ni kuweka tu kile kipande kakanyagwa goti kwasababu ya ubishi wake.

Licha ya hivyo hii ilikaa kisiasa pia kwa kujaribu kumchafua zaidi Trump, Wabunge kama ilhan omar na yule kichaa wa new york Alexandra cortez walienda mbali zaidi kutaka mapolisi wapunguzwe na bajeti yao ipinguzwe, walipoambiwa nao watolewe ulinzi wakawa midomo wazi tu hawana cha kujibu.

Leo hii nashangaa haya maandamano yaliyoleta vurugu kubwa, watu kupigwa, watu kuuawa, maduka kufilisika kwa kuvamiwa, n.k haya maandamano ndio yapo katika nominees wa noble prize!!! ama kweli Media sio kitu cha mchezo.

Kwa ufupi haya maandamano yalichochewa sana na hawa democrats na hivi vyombo vyao kama youtube, ukweli upo kwenye hio video inayominywa.

Over!!!
1613202129252.png

Alishatuonya mapema sana...
 
Lile jinga Trump lilojiropokea tu 'We are going to walk down to the Capitol, and we're going to cheer on our brave senators, congressmen and women, and we are probably not going to be cheering so much for some of them. Because you will never take back our country with weakness."
 
Huwezi pumua na ulishasumbua askari kwa dakika zaidi ya 15 hutaki kufungwa pingu wala kukamatwa??.Askari nae ni binadamu na ana hasira vile vile,sasa inawezekana kumkanyaga shingo ndio ilikuwa the only way ya kumtuliza,sasa ile kusema i cant breath askari alishakuwa na hasira hawezi kukuskiliza.
Key point:Askazi akikwmbia hands up,jaribu kutii uone kama utapata hata mkwaruzo...
sielewi vizuri, hata kama alikuwa mbishi askari walikuwa sawa kumhukumu kifo?!??!!. Media ilirusha hicho kipande kwa sababu askari alimuua floyd makusudi kitu ambacho hakikubaliki kabisa kabisa hayo mengine ya ubishi na nini hayakuwa tukio kubwa sana kwa sababu wamarekani weusi hata hapa kwetu wapo watu wabishi wanapokamatwa na polisi je unataka kusema watu hao wakiuawa utauunga mkono??!!??
 
Police ni tatizo especially caucasian police, na black community pia ni tatizo, ipo hivyo tangu enzi za slavery mpk siku kila upande ukiamua kufanyia kazi kasoro zake. "BLM" ni utopolo tu watu weusi tunajaribu kuji-victimize ili tusikike(kwani hawajui) na imezidi kuongeza hate kati ya police na black community.

Maandamano na harakati za mtandaoni na sheria mpya haziwezi kusolve racism. Wanugu wabadilike, kuanzia malezi ya watoto, wahimize shule, kuheshimu sheria bila shuruti, tabia njema, upendo n.k.
 
sielewi vizuri, hata kama alikuwa mbishi askari walikuwa sawa kumhukumu kifo?!??!!. Media ilirusha hicho kipande kwa sababu askari alimuua floyd makusudi kitu ambacho hakikubaliki kabisa kabisa hayo mengine ya ubishi na nini hayakuwa tukio kubwa sana kwa sababu wamarekani weusi hata hapa kwetu wapo watu wabishi wanapokamatwa na polisi je unataka kusema watu hao wakiuawa utauunga mkono??!!??
Unaposema makusudi unamaanisha nini?,Kwamba askari aliamua tu kumkanyaga shingo akamuua?,Una uhakika kwamba Floyd hakum provoke askari au hakuwa ana resist kuwa arrested peacefully??,Unajua kila kifo kina sababu vingine huwa tunavikaribisha wenyewe tu.Hakuna mtu anayeunga mkono mauaji hapa,point ni kwamba kuna vitu Floyd alivifanya hadi kupelekea yeye kuuawa media hazikuonyesha why??..Ni blacks wangapi wakamatwa na police daily mbona hawauawi?,Police ukitii anachokwambia huwezi dhurika hata kidogo labda hawa wa bongo sio USA.Hivi unajua USA police akitaka kukukamata na akaona una bastola na hautaki kuweka mikono juu anaruhusiwa kuku shot??Ila huwez skia media wanaongea ichi kitu,ni mfano tu
 
Nawaza tu!! Ndiyo ingekuwa polisi hawa----!! Akina afande majani hawa, wakuamuru kitu halafu uwaletee hizo za "nooo meeen" ungeshughulikiwa kwa silaha mchanyato hadi ujifie bila hata sauti yako ya "i cant breath" kusikika!! Wala isingejulikana umeuliwa kwa silaha gani!! Maana hapo kila kitu kitahusika,marungu,mateke,mangumi,vitako vya bunduki,matawi ya miti,mawe,hadi vichwa utapigwa!!! Hao polisi wa minneapolis walikosea kweli,kibinadamu,, ila nikiangalia handling ya polisi kwa huyo jamaa nagundua kabisa kuwa huku kwetu afrika hatuna askari polisi, tuna genge la wahalifu wezi na wauaji wenye leseni,na wanaolipwa kwa kodi zetu ili kutuua na kutupora,eti polisi anamimina risasi morogoro mjini hadi anaua na muuza magazeti asiyejua hili wala lile masikini,halafu polisi hawajali wala hata kutoa pole tu kwa familia ya baba muuza magazeti aliyeuliwa na polisi kwa uzembe tu wa polisi,au mwangosi aliyerushiwa bomu wakati hata haku resist order yoyote ya wauaji hao,watawala wa afrika ndiyo wanaofanya watu weusi waonekane kama ni wa "kuuliwa" tu popote pale duniani,maana hata kwao kwenyewe wanauliwa na ndugu zao wenyewe,so sad!!
 
Ni kweli kabisa unachoongea.

Cnn, Msnbc, abc, TWITTER, FB, walihusika sana.

Hio video ilitoka baada ya miezi mitatu kwanini?? kwanin haipendekezwi kuangaliwa ili watu wajue ukweli halisi?/

Sikani kwmba kuwa kuna mapolisi wapo wanaoonea watu weusi lakini media ilichofanya kwa kuwapa watu stori iliyopikwa ni jambo ambalo halikubaliki hata kidogo, Huyu George floyd alikuwa katumia noti feki na alikuwa mbishi hataki kuingia kwenye gari la polisi ila media ilichofanya ni kuweka tu kile kipande kakanyagwa goti kwasababu ya ubishi wake.

Licha ya hivyo hii ilikaa kisiasa pia kwa kujaribu kumchafua zaidi Trump, Wabunge kama ilhan omar na yule kichaa wa new york Alexandra cortez walienda mbali zaidi kutaka mapolisi wapunguzwe na bajeti yao ipinguzwe, walipoambiwa nao watolewe ulinzi wakawa midomo wazi tu hawana cha kujibu.

Leo hii nashangaa haya maandamano yaliyoleta vurugu kubwa, watu kupigwa, watu kuuawa, maduka kufilisika kwa kuvamiwa, n.k haya maandamano ndio yapo katika nominees wa noble prize!!! ama kweli Media sio kitu cha mchezo.

Kwa ufupi haya maandamano yalichochewa sana na hawa democrats na hivi vyombo vyao kama youtube, ukweli upo kwenye hio video inayominywa.

Over!!!
Hiyo ndio siasa ... Hayo yote yalikuwa Ni matukio ambayo yako planned
 
Back
Top Bottom