maandamano ya ccm arusha yakumbana na FFU, wengi waumizwa

Mwikimbi

JF-Expert Member
Joined
Mar 8, 2008
Posts
1,762
Reaction score
829
CCM wadhibitiwa Arusha kwa kuandamana bila kibali
John Mhala, Arusha

Daily News; Saturday,October 11, 2008 @20:09

 
Tatizo langu ni source ya habari, isije kuwa inataka ku-cover yale ya Tarime. Ngoja nisubiri labda ni kweli...
 
Asante Mkuu kwa kutoa uhakika, maana kuna magazeti mimi huwa siyaamini hata kidogo... (Kwa jinsi wanavyoripoti issues)

Hao ccm na polisi wameandaliwa na RA ,hata wale chadema dar nao ulikuwa mkono wa RA.kwi kwi kwi kwi
 
Huyo kamanda wa polisi mkoa wa Arusha likely rungu litamshukia au kama sio yeye mhusika wa hiyo oparesheni.....ngoja tusuburi tuone picha itakavyochezwa.
 
Wakimaliza Tarime watakuja kwa Basilio Matei. Akitaka kujiokoa kwenye hiyo dhahama awafanyie "court martial" hao FFU wake! Inawezekana pia ni mbinu ya ku-divert attention kutoka Tarime, au ku-danganya kuwa FFU wako balanced katika treatment yao ya maandamano. Nasema "kudanganya" maana hata madhara yaliyoripotiwa hapo ni madogo kama kuchaniwa shati, nk. Ingekuwa maandamano ya CUF si ajabu kuna wengi wangelazwa hospitalini kutokana na kuvunjwa mikono, miguu, migongo na kupasuliwa nyuso kwa marungu!
 
isije ikawa kujenga mazingira kwa ajili ya yatayowapata wengine siku za usoni
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…