Eti hii ndio klabu kongwe..wajinga kabisa.Ndugu zetu sisi tukiwa tunaelekea Misri wao wako wanaelekea kwenye maandamano
Kuna tatizo mahali linatakiwa kuangaliwa dhidi ya Hawa ndugu zetuView attachment 1744894
Na maumivu bado yanakija zaidi, simba inaenda nusu fainali. Wajiandae kuumia zaidi.Wanatafuta huruma
Ndugu zetu sisi tukiwa tunaelekea Misri wao wako wanaelekea kwenye maandamano
Kuna tatizo mahali linatakiwa kuangaliwa dhidi ya Hawa ndugu zetuView attachment 1744894
Ndio basi tena...Maskini utopolo.
mambo ya yanga, wewe binti Yana kuwasha Sana si ndio.Ndugu zetu sisi tukiwa tunaelekea Misri wao wako wanaelekea kwenye maandamano
Kuna tatizo mahali linatakiwa kuangaliwa dhidi ya Hawa ndugu zetuView attachment 1744894
Hawa ni wajinga kabisa.... sport unataka uifanye kama siasa....Ndugu zetu sisi tukiwa tunaelekea Misri wao wako wanaelekea kwenye maandamano
Kuna tatizo mahali linatakiwa kuangaliwa dhidi ya Hawa ndugu zetuView attachment 1744894