Stuxnet
JF-Expert Member
- Feb 12, 2011
- 13,417
- 23,310
Siku 3 hizi ambapo maandamno ya vijana wa KENYA yameshamiri kupinga Finance Bill 2024, huku nchini kwetu kwenye social media nimeona kuwa Watanzania wanatamqni na sisi kwetu ingetokea kama Kenya.
Sijui tuna upungufu gani wa maono ila mdharau pazuri, pabaya pana msubiri
PIA SOMA
- Nguvu ya Umma: Bunge lalazimika kubadilisha Muswada wa Sheria ya Fedha baada ya maandamano ya Wananchi
- News Alert: - Yanayojiri Maandamano Kenya: Maandamano yapamba moto, waandamanaji waelekea Ikulu!
Sijui tuna upungufu gani wa maono ila mdharau pazuri, pabaya pana msubiri
PIA SOMA
- Nguvu ya Umma: Bunge lalazimika kubadilisha Muswada wa Sheria ya Fedha baada ya maandamano ya Wananchi
- News Alert: - Yanayojiri Maandamano Kenya: Maandamano yapamba moto, waandamanaji waelekea Ikulu!