Huwajui Vizuri WaTz, ... tu Mahodari sana,sana tu tena Mashupavu kwenye Maandamano nyuma Ya Key board...! Na Kuchonga mdomo kama huyo jamaa wa Chadema na post yake hapo mlivyomweka.
Lkn, Kuja Uhalisia siku ya Maandamano Hutamwona Kiongozi wala followers...! Embu Mtuache kwanza.!