GRAMAA
JF-Expert Member
- Nov 1, 2014
- 1,241
- 3,800
Ni mambo yakikuda sana wanayofanya makamabda wa CHADEMA.
Eti ebu wewe mwenyewe fikiria.
Mbowe aliitisha maandano ya kupinga kutekwa na kuuawa kwa wananchi ila cha ajabu hakuna kamanda hata mmoja aliyejitokeza wote walichimba docho!
Soma Pia: Mbowe arudisha fomu ya kugombea Uenyekiti CHADEMA
Ila leo Mbowe kaitisha maandamano ya kumsindikiza kuchukua fomu makamanda wamejazana kibwena bila hata aibu na vitambi vyao.
Aaaaaaah! Pyuuuuuuuu.
Eti ebu wewe mwenyewe fikiria.
Mbowe aliitisha maandano ya kupinga kutekwa na kuuawa kwa wananchi ila cha ajabu hakuna kamanda hata mmoja aliyejitokeza wote walichimba docho!
Soma Pia: Mbowe arudisha fomu ya kugombea Uenyekiti CHADEMA
Ila leo Mbowe kaitisha maandamano ya kumsindikiza kuchukua fomu makamanda wamejazana kibwena bila hata aibu na vitambi vyao.
Aaaaaaah! Pyuuuuuuuu.