connections
JF-Expert Member
- Apr 27, 2013
- 2,190
- 3,039
Katika kudumisha uhusiano wa Kimataifa wanachama wa Chama cha Mapinduzi tawi la Mazimbu wanakusudia kufanya maandamano ya kumpongeza mgombea wa chama rafiki ANC Kwa kupata kuchaguliwa Tena kuongoza Taifa la Afrika Kusini.
NB:
TAREHE 18 Julai 2024,
SEHEMU NMB wami Branch - Mazimbu Campus,
MUDA Saa 1 asubuhi
MAVAZI T-shirt, kofia, skafu za Chama*
Shime wanachama tujitokeze kwa wingi
NB:
TAREHE 18 Julai 2024,
SEHEMU NMB wami Branch - Mazimbu Campus,
MUDA Saa 1 asubuhi
MAVAZI T-shirt, kofia, skafu za Chama*
Shime wanachama tujitokeze kwa wingi