Tetesi: Maandamano ya kumpongeza Ramaphosa kufanyika Mazimbu-Morogoro

Tetesi: Maandamano ya kumpongeza Ramaphosa kufanyika Mazimbu-Morogoro

connections

JF-Expert Member
Joined
Apr 27, 2013
Posts
2,190
Reaction score
3,039
Katika kudumisha uhusiano wa Kimataifa wanachama wa Chama cha Mapinduzi tawi la Mazimbu wanakusudia kufanya maandamano ya kumpongeza mgombea wa chama rafiki ANC Kwa kupata kuchaguliwa Tena kuongoza Taifa la Afrika Kusini.

NB:
TAREHE 18 Julai 2024,
SEHEMU NMB wami Branch - Mazimbu Campus,
MUDA Saa 1 asubuhi
MAVAZI T-shirt, kofia, skafu za Chama*

Shime wanachama tujitokeze kwa wingi
 
Katika kudumisha uhusiano wa Kimataifa wanachama wa Chama cha Mapinduzi tawi la Mazimbu wanakusudia kufanya maandamano ya kumpongeza mgombea wa chama rafiki ANC Kwa kupata kuchaguliwa Tena kuongoza Taifa la Afrika Kusini.

NB:
TAREHE 18 Julia 2024,
SEHEMU NMB wami Branch - Mazimbu Campus,
MUDA Saa 1 asubuhi
MAVAZI T-shirt, kofia, skafu za Chama*
kusifu na kuabudu
 
Katika kudumisha uhusiano wa Kimataifa wanachama wa Chama cha Mapinduzi tawi la Mazimbu wanakusudia kufanya maandamano ya kumpongeza mgombea wa chama rafiki ANC Kwa kupata kuchaguliwa Tena kuongoza Taifa la Afrika Kusini.

NB:
TAREHE 18 Julia 2024,
SEHEMU NMB wami Branch - Mazimbu Campus,
MUDA Saa 1 asubuhi
MAVAZI T-shirt, kofia, skafu za Chama*
Nchi ya wasio na kazi ya kufanya, wanafanya yasiyo na manufaa...madog nyie
 
Katika kudumisha uhusiano wa Kimataifa wanachama wa Chama cha Mapinduzi tawi la Mazimbu wanakusudia kufanya maandamano ya kumpongeza mgombea wa chama rafiki ANC Kwa kupata kuchaguliwa Tena kuongoza Taifa la Afrika Kusini.

NB:
TAREHE 18 Julai 2024,
SEHEMU NMB wami Branch - Mazimbu Campus,
MUDA Saa 1 asubuhi
MAVAZI T-shirt, kofia, skafu za Chama*

Shime wanachama tujitokeze kwa wingi
Vipi maendeleo ya Maandamano?
 
Back
Top Bottom