connections
JF-Expert Member
- Apr 27, 2013
- 2,190
- 3,039
kusifu na kuabuduKatika kudumisha uhusiano wa Kimataifa wanachama wa Chama cha Mapinduzi tawi la Mazimbu wanakusudia kufanya maandamano ya kumpongeza mgombea wa chama rafiki ANC Kwa kupata kuchaguliwa Tena kuongoza Taifa la Afrika Kusini.
NB:
TAREHE 18 Julia 2024,
SEHEMU NMB wami Branch - Mazimbu Campus,
MUDA Saa 1 asubuhi
MAVAZI T-shirt, kofia, skafu za Chama*
Godam right ππππ, sad and funny at the same time, inatia hasiraFinally we as Tanzanians are about to embark on something we can do best and outshine anyone.
Sio kosa kisheriakusifu na kuabudu
Nchi ya wasio na kazi ya kufanya, wanafanya yasiyo na manufaa...madog nyieKatika kudumisha uhusiano wa Kimataifa wanachama wa Chama cha Mapinduzi tawi la Mazimbu wanakusudia kufanya maandamano ya kumpongeza mgombea wa chama rafiki ANC Kwa kupata kuchaguliwa Tena kuongoza Taifa la Afrika Kusini.
NB:
TAREHE 18 Julia 2024,
SEHEMU NMB wami Branch - Mazimbu Campus,
MUDA Saa 1 asubuhi
MAVAZI T-shirt, kofia, skafu za Chama*
Unajipongezaje mpiga nyettto hahabaada ya uchovu, jioni twajipongeza na watoto wa SUA
Vipi maendeleo ya Maandamano?Katika kudumisha uhusiano wa Kimataifa wanachama wa Chama cha Mapinduzi tawi la Mazimbu wanakusudia kufanya maandamano ya kumpongeza mgombea wa chama rafiki ANC Kwa kupata kuchaguliwa Tena kuongoza Taifa la Afrika Kusini.
NB:
TAREHE 18 Julai 2024,
SEHEMU NMB wami Branch - Mazimbu Campus,
MUDA Saa 1 asubuhi
MAVAZI T-shirt, kofia, skafu za Chama*
Shime wanachama tujitokeze kwa wingi