Maandamano ya msanii Diamond

KakaJambazi

JF-Expert Member
Joined
Jun 5, 2009
Posts
18,804
Reaction score
12,227
Wafuasi ghafa walimwamuru asipande gari na waandamane kwa miguu kwenda Escape 1.
Je maandamano yalikua na kibali?
 
Kiranja wa zamu na fisiem ndo wenye baraka na chochote anafanya yule domo. Msanii akiomba mafuriko wanaangalia tu ila aombe kiongozi wa upinzani hata kwenda hospital wanapanic. #getangry
 
Nilishangaa jana mida ya saa nane nikielekea airport, diamond katengeneza foleni upande wa pili. Foleni isiyo na tija...
 
UKAWA naona mmeamua kuonyesha hasira zenu baada ya kijana mliyemsusia kumpigia kura kuwatoa nishai hahaha
 
Waacheni Watu wafurahi Dua la Kuku halimpati Mwewe, muda wa kuishi ni mfupi sana.
 
Nilishangaa jana mida ya saa nane nikielekea airport, diamond katengeneza foleni upande wa pili. Foleni isiyo na tija...
Yaani hii nchi cjui itaacha lini visa, mm nilidhani mkulu wa nchi anapita maana iyo foleni ilikua ya kufua mtu kumbe nd foleni ya diamond
 
Hivi mnajua tuko na wachawi live humu.!!

Hahaa na bado.
 
Tuzo zake familia yake pamoja na ccm na mazombi wasiojijua

Kuna Mazombi zaidi ya wale wanaokemea ufisadi kwa nguvu zote ila baada ya kuwezeshwa WANABADILIKA na kuanza kuushabikia?
 
Yaani hii nchi cjui itaacha lini visa, mm nilidhani mkulu wa nchi anapita maana iyo foleni ilikua ya kufua mtu kumbe nd foleni ya diamond
Dah! Samahani kwa usumbufu, alikuwa ni Mkulu wa Mijitizo, The National Icon... yeye ndie alikuwa anapita!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…