sonofobia
JF-Expert Member
- Jun 21, 2015
- 1,171
- 4,295
Kama ilivyotokea kwenye maandamano ya UKUTA vijana wa Mbowe wakafyata mkia.
Pia maandamano ya samia must go hayatafanyika sababu wananchi hawaiungi mkono CHADEMA.
Pia wananchi wanaona hayawahusu wao wakipotelewa na ndugu zao chadema wapo kimya wanatafuna ruzuku amekufa "double agent" wao ndio wanataka watu waende kupigwa risasi.
Pia maandamano ya samia must go hayatafanyika sababu wananchi hawaiungi mkono CHADEMA.
Pia wananchi wanaona hayawahusu wao wakipotelewa na ndugu zao chadema wapo kimya wanatafuna ruzuku amekufa "double agent" wao ndio wanataka watu waende kupigwa risasi.