Uchaguzi 2020 Maandamano ya tarehe 2 Nov: Je, Ni Demokrasia au waliokosa wanapigania Maslahi Binafsi?

Sasa hivi wamebakia kusubiri matamko mbalimbali, kama chanzo cha faraja kwao..!
Sasa mtu kama Tundu Lissu yupo nchini kwake lakini anashinda kutwa nzima anaomba misaada ya kimataifa ije kuiadhibu serikali. Mbaya zaidi watu wengi wamemchunia kama hawamuoni au kumsikiliza, this is Tragedly kwa kweli. Yaani anadhani akitutajia Mahakama ya ICC ndiyo tutaogopaaa.
 
Watanzania wameamua kwenda na John Pombe Magufuli
Watuache tupumue
Watu milioni 12 ndiyo watanzania milioni 45!!!!!!πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚. Tena hiyo milioni 12 mmebebwa na tume yenu mliyoiajiri, polisi, jeshi, katiba ya upendeleo, sheria kandamizi na watu wasiojulikana!!!!
 
Kuiadhibu CCM siyo serikali tofautisha serikali na chama chenu, chama chenu kitaenda serikali itabaki na nchi itabaki, chama chenu siyo kila kitu nchi hii
 
Rubbish, maslahi binafsi si wamedhulumiwa? Nani hayupo Kwa maslahi binafsi, tumeweka utaratibu wa kura lazima ufuatwe
 
Rubbish, maslahi binafsi si wamedhulumiwa? Nani hayupo Kwa maslahi binafsi, tumeweka utaratibu wa kura lazima ufuatwe
Ni wazi JPM ni mtu ambaye hayuko kwa maslahi binafsi maana tunaona ni namna gani anavyoumiza kichwa kila siku ili kuhakikisha nchi inakuwa salama na inafanikiwa.
 
Watu milioni 12 ndiyo watanzania milioni 45!!!!!!πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚. Tena hiyo milioni 12 mmebebwa na tume yenu mliyoiajiri, polisi, jeshi, katiba ya upendeleo, sheria kandamizi na watu wasiojulikana!!!!
Watu 45M wangekua wameonewa maandamano yao yasingezuilika na yoyote
Watanzania wameamua kwenda na John Pombe Magufuli
 
N
Kuiadhibu CCM siyo serikali tofautisha serikali na chama chenu, chama chenu kitaenda serikali itabaki na nchi itabaki, chama chenu siyo kila kitu nchi hii
Ni sawa, nakubaliana na wewe...na nadiriki kusema wazi kuwa ..."Nchi ni zaidi ya Chama cha siasa" Ni nchi kwanza na vyama baadaye. Kutanguliza nchi mbele kabla au kuliko maslahi ya chama ni jambo la kwanza na la muhimu zaidi. Lakini tukumbuke Chama kilichoshinda uchaguzi ndicho kinaweza kuifanya nchi iwe na maendeleo. Na hapo kwenye chama gani na chama gani ndipo panapoanzia kwenye IDEOLOGY ya chama, ILANI ya chama fulani inasemaje! Ndiyo maana watu wakakaa na kusikiliza kwa makini ILANI ya CCM na CHADEMA na ACT , wakaona wazi ILANI ya CCM inaeleweka zaidi kuliko za vyama vingine. Huwezi kuwa na ILANI iansema ushoga ni halali, au kuweka madini rehani, halafu utegemee tutakuchagua, kwa misingi gani? Mtu yupo supported na Ma Activists wa mtandaoni ambao kwenye foleni ya kupiga kura huwaoni ila wanashoindwa kutwa kucha wanabwabwaja tu na kutukana viongozi. Kuna kila haja ya vyama pionzani kujitathimini sana sana sana sana.
 
Utumwa hauwezi kuisha si unaona Amsterdam anavyotuingilia sie tunamuona shujaa
Huyo Robert Amsterdam kama anajiamini akanyage bongo land aone tutakavyomyoosha kwanza, na hao akina Jeff.

Watanzania tumeshaamua n atunachokitaka kwa sasa ni kuona utulivu na kazi za kujenga taifa zinaendelea.
 
Hiyo mahakama siku hizi haina mashiko tena kama zamani,watu washaiona kama mahakama ya mwanzo tu.

Inamaana kwakuwa wao wameshindwa,ndio kigezo cha uchaguzi huu kuwa na some irregularities?
 
Hakuna anayeweza zuia maandamano ya amani maana huwa kama mafuriko, wala hayo ya kuwalipa vijana wafanye uharibifu kwa kisingizio cha haki na demokrasio hatuwezi kuyaita maandamano
Labda kwanza tufahamu maana halisia ya maandamano, ndio tuendelee kujadili.
Halafu taarifa za polisi kuwa maandamano yangekuwa ya kihuni, sio kweli 'Hollywood', 'Bollywood', na 'Nollywood'?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…