Maandamano yaliyowahi kufanyika Mbeya

Maandamano yaliyowahi kufanyika Mbeya

G Tank

JF-Expert Member
Joined
Feb 9, 2023
Posts
2,297
Reaction score
8,760
1736443977125.png


Maandamano ya DP World - Bandari yalishika kasi zaidi Mbeya, Kesi ilifunguliwa Mahakama ya Mbeya

2011 kulikuwa na Maandamano ya Machinga, Askari wa FFU baadhi waliuawa na mabomu ya machozi yaliisha, Muda huo Kikwete yupo njiani kuelekea Mbeya, Ilibidi watumwe JWTZ kutuliza hali (hakukuwa na majibishano yoyote na JWTZ)

Kwenye maandamano mengine ya Machinga, hali ilikuwa mbaya, Mkuu wa mkoa wa enzi hizo Abas Kandoro alikimbilia uwanja wa ndege.

Huko Chunya enzi za Kikwete alienda kuhutubia, Wananchi wakamuuliza unaenda sana nchi za nje wakati huku kwetu hali mbaya inakuwaje hii, Tafrani ikazuka Rais akawahishwa kwenye gari, wananchi wakaziba njia na kuanza kuipiga gari mawe, Ni umahiri wa dereva ndio ulioweza kusaidia kuondoka kwenye eneo haraka
 
Najua mnataka kusema Singida hayajawahi kufanyika,😂
 
Back
Top Bottom