Maandambano Ya Mange Kimambi.

MICHUTZ

JF-Expert Member
Joined
Aug 28, 2017
Posts
271
Reaction score
531
Mambo Niajee wakuu, sjawahi post kitu chochote Hapa JF Tangu nimeanza Kuifaham JF Tangu 2012. Turudi kwenye topic hapo Juu. Haya maandamano ya mange kimambi Je Yangekuwa ya kumuunga mkono raisi wangeyakemea kama wanavyokemea sasa hivyi?! Mtukufu raisi anapaniki kwa sababu Gani? Nchi inayumba kiasi ambacho hata mtoto Mdogo anamlaum JPM. Haki yetu kikatiba Iko wapi ya kuandamana? Au jamaa alipaa kwa katiba ya CCM?
*Watanzania Tunaangamia kwa Kupata Raisi ambae Hana maarifa* mange kimambi sasa hivyi anamzidi magufuli kwa umaarufu. Mimi ntaandamana kwenye Kitanda changu Siku ya APRIL 26.
 
John Marshall alikuwa jaji mkuu wa Marekani mnamo karne ya 18 na aliwahi kusema haya....
 
Haya maandamano hayazuiliki.....ilikuwa inatakiwa mtu ajitokeze atangaze tarehe na DADA WA TAIFA MANGE KIMAMBI amekata kiu ya watz....
Maandalizi yanaendelea kumtoa ndulj huyu jiwe linalotoa asali
 
Maandamano dead on arrival, ni kupotezena muda tuu. No leadership, no aim, no real outcome, no coordination. Mara ya amani, mara mapinduzi, mara tunataka nchi yetu, mara uhuru, ni utoto utoto tu.
 
Maandamano dead on arrival, ni kupotezena muda tuu. No leadership, no aim, no real outcome, no coordination. Mara ya amani, mara mapinduzi, mara tunataka nchi yetu mara uhuru, ni utoto utoto tu.
Upuuzi wa hali ya juu, hasa ukichukuliwa anayehamasisha yukoje..
 
Mwenzao ana yake binafsi yanayomsibu huko ndio maana anapiga kelele zote hizi akiwa huko mbali. Lakini anchokitaka hato kuja kukipata. Plain N Simple.
 
We jamaa ushakuwa brainwashed na Mange kimambi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…