The master
JF-Expert Member
- Feb 13, 2014
- 289
- 195
Amani iwe kwenu nyote.
Biblia ni kitabu ambacho kimeeleza maisha ya mwanadamu tangu kuumbwa kwa dunia hadi ukamilifu wa dahari. Japokuwa kina aya nyingi zinazokinzana lakini wasomi wengi wa mambo ya dini wanakitumia kitabu hicho kama rejea ya mambo mbalimbali ya kiimani. Nirejee kwenye mada.
Mada yangu inahuru Mathayo 21:33-44. Kwa wale wasoma biblia watatambua kuwa Yesu alitoa mfano wa mtu mmoja aliyelima shamba la mizabibu kisha akaenda mbali.
Lengo langu hapa si kuleta ubishani wa kidini bali ni kuelimishana kwa lengo la kujifunza. Biblia inasema kuwa elimu ni ufunguo wa maisha na hivyo mshike sana elimu usimwache aende zake. Pia inasema tuitafute kweli kwani kweli itatufanya kuwa huru.
Karibuni tuelimishane kwa ushahidi na si kukejeliana.
Biblia ni kitabu ambacho kimeeleza maisha ya mwanadamu tangu kuumbwa kwa dunia hadi ukamilifu wa dahari. Japokuwa kina aya nyingi zinazokinzana lakini wasomi wengi wa mambo ya dini wanakitumia kitabu hicho kama rejea ya mambo mbalimbali ya kiimani. Nirejee kwenye mada.
Mada yangu inahuru Mathayo 21:33-44. Kwa wale wasoma biblia watatambua kuwa Yesu alitoa mfano wa mtu mmoja aliyelima shamba la mizabibu kisha akaenda mbali.
Lengo langu hapa si kuleta ubishani wa kidini bali ni kuelimishana kwa lengo la kujifunza. Biblia inasema kuwa elimu ni ufunguo wa maisha na hivyo mshike sana elimu usimwache aende zake. Pia inasema tuitafute kweli kwani kweli itatufanya kuwa huru.
Karibuni tuelimishane kwa ushahidi na si kukejeliana.