The lighter
Member
- May 1, 2024
- 7
- 6
Ni kweli kwamba maandiko yameweka wazi kwamba Mungu ni mwenye huruma lakini ikifika mahali anafanya hukumu (Maamuzi) katika kujibu maombi ya waja wake, Huruma haitumiki bali SHERIA yake ndio hutumika kama msingi wa HUKUMU zake.
Ombi langu: Tuondoe dhana potofu kwamba Mungu atakuonea huruma katika shida uzipitiazo na atakutoa huko, Never, unless umekidhi vigezo na masharti
Ombi langu: Tuondoe dhana potofu kwamba Mungu atakuonea huruma katika shida uzipitiazo na atakutoa huko, Never, unless umekidhi vigezo na masharti