Spartacus boy
JF-Expert Member
- Sep 22, 2020
- 1,727
- 3,464
Habari wakuu,
Katika matumizi ya vifaa vya kieletroniki basi huwa kuna style tofauti za maandishi hutumika au huwekwa humo na watengeneza vifaa hivyo.
Ila kwa baadhi ya vifaa hivyo mfano simi za mkononi basi watumiaji huwa na uhuru wa kubadilisha hizo font style.
Mimi binafsi once natumia Android phone na kitu cha kwanza hata navyobadilisha simu kitu cha kwanza huwa ni kubadilisha style.
Font zangu pendwa ni:
A) Gloria Hallelujah.
Hii font naipenda sana maana imekaa kulalia kulia. Huifanya simu yangu kuwa stylish sana.
B) Rosemary
Hii font ni maarufu sana kwa simu na vifaa vya Samsung.
Wewe ni mpenzi wa font zipi?
Katika matumizi ya vifaa vya kieletroniki basi huwa kuna style tofauti za maandishi hutumika au huwekwa humo na watengeneza vifaa hivyo.
Ila kwa baadhi ya vifaa hivyo mfano simi za mkononi basi watumiaji huwa na uhuru wa kubadilisha hizo font style.
Mimi binafsi once natumia Android phone na kitu cha kwanza hata navyobadilisha simu kitu cha kwanza huwa ni kubadilisha style.
Font zangu pendwa ni:
A) Gloria Hallelujah.
Hii font naipenda sana maana imekaa kulalia kulia. Huifanya simu yangu kuwa stylish sana.
B) Rosemary
Hii font ni maarufu sana kwa simu na vifaa vya Samsung.
Wewe ni mpenzi wa font zipi?