Maasai kama Aborigines (Australia) walindwe kwa wivu mkubwa

Maasai kama Aborigines (Australia) walindwe kwa wivu mkubwa

and 300

JF-Expert Member
Joined
Jun 27, 2012
Posts
26,398
Reaction score
36,406
1. Ndugu zetu Maasai pale Ngorongoro wanalindwa/kutambuliwa na mikataba ya Kimataifa mfano United Nations Declaration No. 169 on the Rights of Indigenous People - jamii husika inatambulika na kuheshimiwa katika Ardhi Yao ya asili, Mila na tamaduni. Na wanao Uhuru wa kuamua maendeleo yao.

2. Ilitokea Australia hadi sasa Aborigines wanalindwa kwa wivu mkubwa.

3. Ni wakati sasa, Masai walindwe na kuheshimiwa katika Ardhi Yao ya asili.

Pia soma:“Indigenous Peoples” ndio wenye haki ya kuamua wanataka nini kimaendeleo
 
1. Ndugu zetu Maasai pale Ngorongoro wanalindwa/kutambuliwa na mikataba ya Kimataifa mfano United Nations Declaration No. 169 on the Rights of Indigenous People - jamii husika inatambulika na kuheshimiwa katika Ardhi Yao ya asili, Mila na tamaduni. Na wanao Uhuru wa kuamua maendeleo yao.

2. Ilitokea Australia hadi sasa Aborigines wanalindwa kwa wivu mkubwa.

3. Ni wakati sasa, Masai walindwe na kuheshimiwa katika Ardhi Yao ya asili.

Pia soma:“Indigenous Peoples” ndio wenye haki ya kuamua wanataka nini kimaendeleo
Naunga mkono hoja
P
 
1. Ndugu zetu Maasai pale Ngorongoro wanalindwa/kutambuliwa na mikataba ya Kimataifa mfano United Nations Declaration No. 169 on the Rights of Indigenous People - jamii husika inatambulika na kuheshimiwa katika Ardhi Yao ya asili, Mila na tamaduni. Na wanao Uhuru wa kuamua maendeleo yao.

2. Ilitokea Australia hadi sasa Aborigines wanalindwa kwa wivu mkubwa.

3. Ni wakati sasa, Masai walindwe na kuheshimiwa katika Ardhi Yao ya asili.

Pia soma:“Indigenous Peoples” ndio wenye haki ya kuamua wanataka nini kimaendeleo
Uchaguzi 2025 CHADEMA Wana points za kuzungumzia mpaka wachoke.
 
Kila anaeingia anakuta mwenzie kapiga deals zake katembea, huyu kaja, yule uwalaza alibinafsha vingi tu, mzee wa soga akafanya yake, mwendazake akajiwahi, huyu nae anajiwahi.. Watakaokuja huko mbele watauza hata mlima kilimanjro, wengine watauza bahari, atakaefika hakuna kitu atauza hata raia wake, mradi ye apige dili.
 
ZA HIVI PUNDE KUTOKA NGORONGORO:
Wamasai wengi wanakamatwa usiku huu.
Na msako bado unaendelea!
 
Back
Top Bottom