Maaskofu huwa hawarushi jiwe gizani!

Maaskofu huwa hawarushi jiwe gizani!

The Burning Spear

JF-Expert Member
Joined
Dec 23, 2011
Posts
4,118
Reaction score
9,864
Kuna watu huwa wanasema maaskofu wanapiga kelele. Wanapinga hiki na hiki, subiri nikwambie, ninavojua hawa jamaa ni intelligent enough. Wanajua in/out zote na huwezi kuwachenga kwa lolote lile.

Na wakishasemea jambo huwa hawarudi mara kwa mara ila wewe mwenyewe utaona matokeo. They never speak twice.

Mara zote ujumbe wao huwa wanapeleka direct kwa mtu muhusika siyo kurusha jiwe gizani. Sasa ni wajibu wako sasa wewe uliyepewa ujumbe huo ushupaze shingo au uwasikilize.

Narudia they are so intelligent tofauti na wengi tunavyofikiria na hakuna aliyapambana nao akashinda.

Nawatakia Dominika Njema
 
Wale ni watumishi wa Mungu aliye hai. Wanaona mambo yote yanayoenda vema na hovyo. Siku wakiamua kutoa waraka shupaza shingo utaipata freshi. Ndio maana hawakurupuki kama wale wengine wenye munkari na jazba
 
Kuna watu huwa wanasema maaskofu wanapiga kelele. Wanapinga hiki na hiki, subiri nikwambie, ninavojua hawa jamaa ni intelligent enough. Wanajua in/out zote na huwezi kuwachenga kwa lolote lile.

Na wakishasemea jambo huwa hawarudi mara kwa mara ila wewe mwenyewe utaona matokeo. They never speak twice.

Mara zote ujumbe wao huwa wanapeleka direct kwa mtu muhusika siyo kurusha jiwe gizani. Sasa ni wajibu wako sasa wewe uliyepewa ujumbe huo ushupaze shingo au uwasikilize.

Narudia they are so intelligent tofauti na wengi tunavyofikiria na hakuna aliyapambana nao akashinda.

Nawatakia Dominika Njema
Na wenyewe wapewe kesi ya uhaini kkenge hao
 
Kuna kiongozi mmoja mstaafu ni fundi wa kurusha mawe gizani. Ila akirusha hakosei, sijui ana miwani gani.
 
Back
Top Bottom