Maaskofu wa Kipentecoste (PCT) Waongo?

Maaskofu wa Kipentecoste (PCT) Waongo?

Uswe

JF-Expert Member
Joined
Nov 1, 2010
Posts
2,204
Reaction score
627
Dk Turuka anasema madai kwamba wa-pentekoste wamepuuzwa si ya kweli, anadai kwamba wamepitia record zao na hawajapata uthibitisho wa kuwepo mapendekezo yeyote kutoka baraza la maaskofu wa kipentekoste.

ameendelea kwa kusema kwamba kwa ukubwa wa jamii ya wapentekoste Tanzania, hakuna namna yeyote Mh Rais angeacha kuteua mtu kutoka katika mapendekezo yao, iwapo wangekua wamependekeza mtu.

Tukirudi nyuma kidogo, PCT walitoa tamka kali wakisikitishwa na kile walichoita ni kutengwa na serikali baada ya kutorudi jina hata moja kutoka majina waliyopendekeza kuingia kwenye bunge maalum la katiba.

Je, Inawezekana PCT wameamua kutupotosha kwa kusema walipendekeza majina wakati hawakufanya hivyo, kama ndiyo kwa nini wafanye hivo?

Kati ya PCT na serikali, who is more likely to tell lies?
 
Tusubiri upande wa pili watasemaje, mkweli atajulikana tu...
 
Yupi muongo? We Uswe inamaana hujui? Kweli hujui? Na kudanganywa kote? Miaka yote? Siamini!
 
...siiamini kabsaaa serikali,hasa wanapoteua watu wawili kwa jina moja halafu hata wao hawajui nani ni nani wakati wamefanya vetting.full uchakachuzi.hi yote ni hofu ya serikali tatu...
 
Yupi muongo? We Uswe inamaana hujui? Kweli hujui? Na kudanganywa kote? Miaka yote? Siamini!

ndio maana nauliza.

kitu kimoja nina uhakika, hawa jamii ya wapentekoste huwa si waongo maana wao huamini uongo ni dhambi

kuhusu serikali ni waongo au hapana mi sujui mkuu
 
ndio maana nauliza.

kitu kimoja nina uhakika, hawa jamii ya wapentekoste huwa si waongo maana wao huamini uongo ni dhambi

kuhusu serikali ni waongo au hapana mi sujui mkuu
Nani kakudanganya kuwa wapentekoste si waongo? Hata wazinzi wapo kibao
 
Kuweni na hofu ya Mungu, na siyo kutoa matusi yenye dhihaka kwa watumishi wa Mungu!
 
Mimi ninachojua ni kwamba ni kuna watu wamewakilisha Makundi ya Dini, na pentekoste ni dhehebu. Ni wazi kuwa wamewakilishwa. Aidha kama wamesema walipendekeza watu wakati siyo kweli, pia watakuwa hawajatenda vema hasa ukizingatia vitabu vitakatifu vinatamka wazi kabisa kusema uongo ni dhambi, na wao walipashwa kuliishi katazo hilo la mwenyezi Mungu.
 
ndio maana nauliza.

kitu kimoja nina uhakika, hawa jamii ya wapentekoste huwa si waongo maana wao huamini uongo ni dhambi

kuhusu serikali ni waongo au hapana mi sujui mkuu
Uongo hapa hautawanufaisha Wapentekoste na hawana sababu wala haja ya kuutumia. Ila kwenye kujitetea Uongo poa
 
Mimi ninachojua ni kwamba ni kuna watu wamewakilisha Makundi ya Dini, na pentekoste ni dhehebu. Ni wazi kuwa wamewakilishwa. Aidha kama wamesema walipendekeza watu wakati siyo kweli, pia watakuwa hawajatenda vema hasa ukizingatia vitabu vitakatifu vinatamka wazi kabisa kusema uongo ni dhambi, na wao walipashwa kuliishi katazo hilo la mwenyezi Mungu.

Nakunukuu,"na pentekoste ni dhehebu". Ndugu yangu fanya utafiti kwanza kabla ya kuzungumza hadharani. Pentecostals Council of Tanzania (PCT), ni Baraza la MADHEHEBU MENGI yenye imani ya Kipentekoste, kama Tanzania Assemblies of God (TAG), Evangelistic Assemblies of God Tanzania (EAGT), Free Pentecost Church of Tanzania (FPCT), Kanisa la Pentekoste Tanzania (KLPT), Full Gospel Bible Fellowship (FGBF), Efatha, Kanisa la Ufufuo na Uzima, Church of God, Church of God of Prophecy, Pentecostal Holiness Mission Tanzania, na mengine mengi. Hili ni baraza la Makanisa mengi kama lilivyo Christian Council of Tanzania (CCT), linalojumuisha KKKT, Anglican n.k.
 
Ngoja tusubirie upande wa pili uje na vielelezo tuone watu wakiumbuka....
 
Dk Turuka anasema madai kwamba wa-pentekoste wamepuuzwa si ya kweli, anadai kwamba wamepitia record zao na hawajapata uthibitisho wa kuwepo mapendekezo yeyote kutoka baraza la maaskofu wa kipentekoste.

ameendelea kwa kusema kwamba kwa ukubwa wa jamii ya wapentekoste Tanzania, hakuna namna yeyote Mh Rais angeacha kuteua mtu kutoka katika mapendekezo yao, iwapo wangekua wamependekeza mtu.

Tukirudi nyuma kidogo, PCT walitoa tamka kali wakisikitishwa na kile walichoita ni kutengwa na serikali baada ya kutorudi jina hata moja kutoka majina waliyopendekeza kuingia kwenye bunge maalum la katiba.

Je, Inawezekana PCT wameamua kutupotosha kwa kusema walipendekeza majina wakati hawakufanya hivyo, kama ndiyo kwa nini wafanye hivo?

Kati ya PCT na serikali, who is more likely to tell lies?
Tamko la Ikulu ni la Uongo na ni mwendelezo wa kuwadharau Wapentecosite kwa sababu za Udini.

Naomba Ikulu ijibu Maswali haya:
1.Ni kwa nini ikulu itumie mda wa siku kumi kujua kwamba PCT walipeleka majina au la???.Hapo kuna agenda kuwa kuwa walikuwa wanapika taarifa!!!
Uzoefu unaonyesha kuwa ukiona matokeo ya kura yanacheleshwa ujue CCM imeshindwa na kuna udanganyifu unafanyika ili kupotosha jamii

2.Ikulu imekuwa makini sana kuwatafuta PCT kama taasisi kubwa nchini na kuwaomba wasidie kutoa elimu ya Ujii wa sheria bili Shuruti na kampeni hii ilizinduliwa na Rais Mwinyi na wamekuwa wepesi sana kupokea nyaraka za PCT zinazompongeza Kikwete sasa kwa nini waseme nyaraka za uteuzi hawakuziona??

3.Taarifa iliyopo ni kwamba PCT walikaa kikao na kuteua majina tisa ambapo kabla ya uteuzi huo mtu wa Ikulu alikuwa anawasiliana nao hadi dakika ya Mwisho. Sasa ni ajabu kuona kwamba PCT wamepeleka majina tisa harafu hayaonekani lakini lakini tamko la kumupongeza kikwete linaonekana!!

4.Baada ya kupeleka majina hayo Walimwaga watu kutoka Ikulu kwenda kufuatilia majina hayo yaliyopendekezwa na PCT sambamba na yale ya taasisi zingine sasa iweje waseme kuwa hawakupata wakati walituma kupeleleza??

5.Kama ni kweli hawakupata majina hayo ni kwa nini JK asiwaite Maaskofu ili kuwahoji juu ya walikopeleka majina badala ya kuanza kujibu kwenye media na kuwadhalilisha??. Kama kweli Jk angekuwa anawajali asingefanya hivyo!!
6.Hoja ya kwamba PCT wawakilishwe na mjumbe mwingine aliyeteuliwa na taasisis nyingine ni dharau nyingine kubwa.
Ni kwa nini CCM isiwakilishwe na mjumbe mmoja??
Huwezi kusema ati Hamadi Rashidi aliyeteuliwa na CUF kama Mbunge awakilishe Bakwata kwa kuwa ni Muislamu !!! Haya ni matusi na dharau kubwa kwa Wapentecosite!!! Mimi siamini kama kweli tamko hili ni la Ikulu!!!
Nina dhani JK anapaswa kutafakali upya majibu haya kabla hajajibu vinginevyo .........
 
Uongo hapa hautawanufaisha Wapentekoste na hawana sababu wala haja ya kuutumia. Ila kwenye kujitetea Uongo poa

kama nakuelewa, possibility ya aliyekuwa. anajitetea ndiye ambaye kadanganya
 
Tamko la Ikulu ni la Uongo na ni mwendelezo wa kuwadharau Wapentecosite kwa sababu za Udini.

Naomba Ikulu ijibu Maswali haya:
1.Ni kwa nini ikulu itumie mda wa siku kumi kujua kwamba PCT walipeleka majina au la???.Hapo kuna agenda kuwa kuwa walikuwa wanapika taarifa!!!
Uzoefu unaonyesha kuwa ukiona matokeo ya kura yanacheleshwa ujue CCM imeshindwa na kuna udanganyifu unafanyika ili kupotosha jamii

2.Ikulu imekuwa makini sana kuwatafuta PCT kama taasisi kubwa nchini na kuwaomba wasidie kutoa elimu ya Ujii wa sheria bili Shuruti na kampeni hii ilizinduliwa na Rais Mwinyi na wamekuwa wepesi sana kupokea nyaraka za PCT zinazompongeza Kikwete sasa kwa nini waseme nyaraka za uteuzi hawakuziona??

3.Taarifa iliyopo ni kwamba PCT walikaa kikao na kuteua majina tisa ambapo kabla ya uteuzi huo mtu wa Ikulu alikuwa anawasiliana nao hadi dakika ya Mwisho. Sasa ni ajabu kuona kwamba PCT wamepeleka majina tisa harafu hayaonekani lakini lakini tamko la kumupongeza kikwete linaonekana!!

4.Baada ya kupeleka majina hayo Walimwaga watu kutoka Ikulu kwenda kufuatilia majina hayo yaliyopendekezwa na PCT sambamba na yale ya taasisi zingine sasa iweje waseme kuwa hawakupata wakati walituma kupeleleza??

5.Kama ni kweli hawakupata majina hayo ni kwa nini JK asiwaite Maaskofu ili kuwahoji juu ya walikopeleka majina badala ya kuanza kujibu kwenye media na kuwadhalilisha??. Kama kweli Jk angekuwa anawajali asingefanya hivyo!!
6.Hoja ya kwamba PCT wawakilishwe na mjumbe mwingine aliyeteuliwa na taasisis nyingine ni dharau nyingine kubwa.
Ni kwa nini CCM isiwakilishwe na mjumbe mmoja??
Huwezi kusema ati Hamadi Rashidi aliyeteuliwa na CUF kama Mbunge awakilishe Bakwata kwa kuwa ni Muislamu !!! Haya ni matusi na dharau kubwa kwa Wapentecosite!!! Mimi siamini kama kweli tamko hili ni la Ikulu!!!
Nina dhani JK anapaswa kutafakali upya majibu haya kabla hajajibu vinginevyo .........
ukikuta mchungaji ama pastor anajiita Cobra,ogopa sana.
 
Mimi ninachojua ni kwamba ni kuna watu wamewakilisha Makundi ya Dini, na pentekoste ni dhehebu. Ni wazi kuwa wamewakilishwa. Aidha kama wamesema walipendekeza watu wakati siyo kweli, pia watakuwa hawajatenda vema hasa ukizingatia vitabu vitakatifu vinatamka wazi kabisa kusema uongo ni dhambi, na wao walipashwa kuliishi katazo hilo la mwenyezi Mungu.
Ndugu naomba nitofautiane na wewe kidogo, hivi na baraza la maaskofu na pia BAKWATA nao walipendekezana majina ama waliteuliwa tu?Na pia nataka kukuuliza wanaposema wanaomba dua mfano siku ya kumteua rais ama siku ya mashujaa mbona sijawahi kuona askofu wa kipentecoste? Kitu kingine mfano kwenye ibada za kitaifa zinazorushwa kwenye TV mfano ibada za Krismasi, mwaka mpya na pasaka mbona sijawahi kuona ikirushwa ibada kutoka makanisa ya kipentekoste? Please jibu maswali yangu maana na mimi nipo kwenye dilema
 
Back
Top Bottom