KACHINJA
JF-Expert Member
- Dec 26, 2015
- 1,263
- 869
Walikuwa wanatudanganya sana na maneno yao ambayo walikuwa wakituaminisha ambayo akiyafikilia sasa unaona kabisa hayana maana.
Mfano
-ukimruka mwezio anakuwa mfupi
-ukiwa unakula chakula kikadondoka chini usiokote anakula babu yako aliyefariki au malaika
-wamama wajawazito wakila mayai watoto watazaliwa bila nywele
-usiku ukienda kwa jirani kuomba chumvi useme naomba dawa ya jikoni
-ukiona mvua inayesha na jua likiwaka basi ujue sima anazaa
-upende wa mvua unaambiwa nyoka anakunywa maji maharini
Weka na yako inayoikumbuka:-
Sent using Jamii Forums mobile app
Mfano
-ukimruka mwezio anakuwa mfupi
-ukiwa unakula chakula kikadondoka chini usiokote anakula babu yako aliyefariki au malaika
-wamama wajawazito wakila mayai watoto watazaliwa bila nywele
-usiku ukienda kwa jirani kuomba chumvi useme naomba dawa ya jikoni
-ukiona mvua inayesha na jua likiwaka basi ujue sima anazaa
-upende wa mvua unaambiwa nyoka anakunywa maji maharini
Weka na yako inayoikumbuka:-
Sent using Jamii Forums mobile app