Mabachela wenzangu munaweza vipi?

Fene

JF-Expert Member
Joined
May 4, 2021
Posts
2,824
Reaction score
4,447
Ubachela huu noma, takea lini sijui nina nguo chafu nasemea tu kufua,

Leo mida hii nipo nazichek tu nguo chafu hapa dah! Ila leo itabidi tu nifue

Mabachela wenzangu muna-survive vipi na usafi wa nguo

 
Mkuu hiyo boxer mbona imechanika hivo?
Nunua nyingine bhana halafu ni ile ya zaman
Sasa hivi zimetoka fashion nyingine jitahid ununue hiz mpya Sasa
 
Dahhhh....
Nampongeza dem wako venye anauwezo mkubwa wa kuvumilia mwanaume wa aina yako
 
Mkuu hiyo boxer mbona imechanika hivo?
Nunua nyingine bhana halafu ni ile ya zaman
Sasa hivi zimetoka fashion nyingine jitahid ununue hiz mpya Sasa
[emoji1787]

Pigo gani za kiumbea hizo mkuu
 
Dahhhh....
Nampongeza dem wako venye anauwezo mkubwa wa kuvumilia mwanaume wa aina yako
Umeona jambo kubwahilo,

Demu wako ndo anauvumilivu kwa sura hiyo
 
Nina week mbili sijafua wala kufuliwa, next week sijui hata naianzaje!!!
 
Hatimae nimeghairi, nioge nikalale tu

Nitafua mapema morning
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…