Brightman Jr
JF-Expert Member
- Mar 22, 2009
- 1,224
- 234
kuna mantiki gani hapo?kwani mda huu unamadhara gani na maandalizi ya watahiniwa au inaathiri vipi maendeleo ya elimu hapa nchini? Msaada tafadhali mtoa maada.
Sababu za mabadiliko haya yaliyotangazwa na Naibu waziri wa Elimu Bw. Mulugo! ni hizi zifuatazo: 1. Utata wa wanafunzi kukalishwa shule baada ya kumaliza mitaala ya masomo miezi mitatu kabla ya mtihani;2. Utata wa Ongezeko la gharama za uendeshaji shule kwa kuhudumia wanafunzi miezi mitatu bila kuwa na jambo jipya la kujifunza. Huu ni mzigo kwa Wenye shule, wazazi na serikali.
Sababu za mabadiliko haya yaliyotangazwa na Naibu waziri wa Elimu Bw. Mulugo! ni hizi zifuatazo: 1. Utata wa wanafunzi kukalishwa shule baada ya kumaliza mitaala ya masomo miezi mitatu kabla ya mtihani;2. Utata wa Ongezeko la gharama za uendeshaji shule kwa kuhudumia wanafunzi miezi mitatu bila kuwa na jambo jipya la kujifunza. Huu ni mzigo kwa Wenye shule, wazazi na serikali.