Nahisi angejua uda-dkt. unavyotafutwa angegoma kuitwa bila ya kuufanyia kazi,cjui anajisikiaje akikutana na akina Mugabe wenye shahada kama 9 ivi, au akina d. Mwakyusa anajisikiaje? Ukiwa na pass first degree,lazima ufanye kozi kama post graduate diploma au equivalent ndo ukachape mastaz zen phd, sasa jamaa ana pass ya sanaa ya uchumi zen dokta,du very exceptional,nakumbuka enzi za 20th century ndo vilaza walikuwa wanapewa heshima lakini in 21 century there is no free bread! Ccm iko juu wapo wasomi akina prof.majimarefu-ccm tanga, dr.jmk, dr.msabah, dr.kamala du wengi sana. Ila Msema Kweli Kinerugaba atawaumbua wengi. Nasikia Kinerugaba anatembea na RB ya kuwakamata mafisadi wa elimu!