HA ha ha ha ha BAK bana acha mambo zako kilemba kinazingua watu.......................
nini kumpiem, hakuna cha thanks wala like aliyokugongea. Hajakuadd as a friend wala nini. Unajua kumpenda mtu sio hadi utangaze kwa watu. Watu wanaweza kuona tu fulani anampenda fulani.
Mbaya zaidi sidhani kama watu wenyewe hua wanakua wakweli...ni kama kampeni ya kutafuta umaarufu.Maana mtu umezimia michango yake kweli alafu hata siku moja hujawahi kumPieM umjulishe unakuja kumwaga habari jamvini.DA hongera kwakusema!Wandugu hopefully mmesikia na kuelewa!
Eti eeh! Hahahahahahahaha kimefungwa kwa style ya aina yake. Njemba zikiona kilemba hicho basi zinaanza kujigonga gonga LOL! Mie namzimikia DA nataka kumuanzishia sredi...mara Ooh! Sijamuona DA hapa jamvini kitambo sasa hivyo sili wala silali mradi waiweke roho ya DA juu juu LOL!
Ndicho kilichonitokea mie ha ha ha h
Wanapenda Avatar + kilemba chake
Ingetokea natuhumiwa kuanzisha thread ya kumpenda Dena Amsi (situhumiwi) na nikaulizwa sababu ya kumpenda na pia nikalazimishwa niseme ukweli, jibu lingekuwa, "Napenda Avatar + kilemba chake, kuna aina fulani ya 'innocence', sasa sijui ikiwa avatar zinawakilisha watu mwenyewe!! Ni fumbo kiasi fulani. Just that (huku niki-pretend ku-shrug)"
Umeamua kuweka mambo hadharani poa............................
Umeamua kuweka mambo hadharani poa............................
Hivi Dena una nini? Maana watu (wanaume) wanakupenda sana humu...
hehehe hakikisha ijumaa una log in mapema, sredi nitailembea hewani Ijumaa, hata kama kina DA na wafuasi wake wataamua kuweka tinted.kupendwa hadharani kuna raha yake.....sema ukweli umwaibishe shetani hukufurahia kuona umerushiwa thread???mie nasubiri klorokwini anianzishie!:bored::bored::bored::tape:
......???hehehe hakikisha ijumaa una log in mapema, sredi nitailembea hewani Ijumaa, hata kama kina DA na wafuasi wake wataamua kuweka tinted.
hukuelewa au hukufaham au umemiss kuquote post langu tu?......???
hukuelewa au hukufaham au umemiss kuquote post langu tu?